Dah kwa iyo mkopo unatafutwa . Si deni la taifa litafika trillion 150Labda jamaa alitaka waache kujenga zilizokuwepo waanze nyingine! Hizi zilizobaki mbona ni mzigo tosha! Nimesikia wanataka kuendeleza Kimara -kibaha highway ifike hadi Chalinze.
Nimecheka balaaBarabara ya tanga Pangani inajengwa. Njoo Mwangombe to Mwakidira, to Mwahako, Kirare etc utaona kazi motomoto.
Pamoja na hayo bado tunapigwa kisawasawa
Tunajenga kwa fedha za ndani.He
Dah kwa iyo mkopo unatafutwa . Si deni la taifa litafika trillion 150
kuna nini la kucheka rafiki hapoNimecheka balaa
kwenye kurasa za TAMISEMI kuna mengi yame fanyika. Ila watanzania ni watu wa kupinga na chuki binafsi. Mtu ana mchukia JK ukimuuliza hana sababu.Kazi za ujenzi anafanya sana tu ila kurugenzi ya mawasaliano ya Shaban Kisu ilikuwa hopeless
Kukaa kimya kutosema kilichofanyika watu wanadhani labda hakuna kinachoendelea na yeye Mama Samia kujieleza mafanikio yake au anachofanya midomo mizito tofauti na Magufuli..,
Unataka kwenda kuiba simenti?Wakuu naona kama tumepigwa. Sijui pesa za serikali na mikopo zinaenda wapi. Mimi kama mtanzania wa kawaida najaribu kutupia jicho huku na kule kuona kama kuna chochote cha maana kinaendela hasa miundo mbinu ya barabara na
mbayo ina faida kwa wanyonge. Sisi hatupandi ndege kama wao.
Barabara ndio neema pekee ambayo ikijengwa sote wanaccm na wanachadema tunapita. Tofauti na Ndege wanafaidi wenye chama chao.
Mnipe taarifa kama kuna anayefahamu wapi kuna ujenzi wa barabara. Je tumepigwa ganzi la miundo mbinu??
Au jitihada zimewekwa mpaka anayedaiwa kuwa Gaidi Mbowe afungwe kwanza??
Mbweni Malindi kwenda Mbweni Mpiji kazi imeanza hivi karibuni.Wakuu naona kama tumepigwa. Sijui pesa za serikali na mikopo zinaenda wapi. Mimi kama mtanzania wa kawaida najaribu kutupia jicho huku na kule kuona kama kuna chochote cha maana kinaendela hasa miundo mbinu ya barabara...
Sidhani Hata JK alikuwa na tatizo hilo hilo la Samia anafanya mengi halafu hasemi wala mawaziri hawasemi ndio maana alikuwa anaonekana kama dhaifu asiyefanya kituKuna r
kwenye kurasa za TAMISEMI kuna mengi yame fanyika. Ila watanzania ni watu wa kupinga na chuki binafsi. Mtu ana mchukia JK ukimuuliza hana sababu.
Tabora to Mpanda wanamalizia just 40 km zilizobakiKuanzia Magomeni kuelekea Mbagala wanajenga mwendokasi. Mataa ya VETA wanajenga flyover, kuna SGR inajengwa vipande mbalimbali, bwawa la umeme na Feb moja wamemaliza ujenzi wa daraja Agha Khan
Kipofu huyo.Kuanzia Magomeni kuelekea Mbagala wanajenga mwendokasi. Mataa ya VETA wanajenga flyover, kuna SGR inajengwa vipande mbalimbali, bwawa la umeme na Feb moja wamemaliza ujenzi wa daraja Agha Khan
Atakuwa mdogo wake Aristotle huyu.Nilijua unatafuta kibarua kumbe ni umbea..Wabongo fanyeni mambo ya msingi acheni umama
Misukule ya Mbowe na Mwendazake mna matatizo sio kidogo..Wakuu naona kama tumepigwa. Sijui pesa za serikali na mikopo zinaenda wapi. Mimi kama mtanzania wa kawaida najaribu kutupia jicho huku na kule kuona kama kuna chochote cha maana kinaendela hasa miundo mbinu ya barabara na
mbayo ina faida kwa wanyonge. Sisi hatupandi ndege kama wao.
Barabara ndio neema pekee ambayo ikijengwa sote wanaccm na wanachadema tunapita. Tofauti na Ndege wanafaidi wenye chama chao.
Mnipe taarifa kama kuna anayefahamu wapi kuna ujenzi wa barabara. Je tumepigwa ganzi la miundo mbinu??
Au jitihada zimewekwa mpaka anayedaiwa kuwa Gaidi Mbowe afungwe kwanza??
KWa hiyo ziachwe hata kama hazijakamilka zianze mpya?Hizi zilianza toka 2019