R raslimali JF-Expert Member Joined Nov 4, 2014 Posts 1,958 Reaction score 1,744 Sep 15, 2022 #1 Habari wakuu Nahitaji swift code ya benki ya NMB .Inasomeka NMIBTZTZ. Hiyo character ya tatu ni namba 1 au ni herufi I ? Napiga namba zao za customer care hakuna option ya kuongea na mhudumu!
Habari wakuu Nahitaji swift code ya benki ya NMB .Inasomeka NMIBTZTZ. Hiyo character ya tatu ni namba 1 au ni herufi I ? Napiga namba zao za customer care hakuna option ya kuongea na mhudumu!
T The Evil Genius JF-Expert Member Joined Mar 21, 2014 Posts 6,017 Reaction score 19,506 Sep 15, 2022 #2 Ni herufi I
T tutunfyekyela JF-Expert Member Joined Aug 31, 2021 Posts 473 Reaction score 781 Sep 15, 2022 #3 ai(I)
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 Sep 15, 2022 #4 Ila watu mna masihara sana na hela.
R raslimali JF-Expert Member Joined Nov 4, 2014 Posts 1,958 Reaction score 1,744 Sep 15, 2022 Thread starter #5 Asanteni wote kwa majibu. Nilikuwa na mashaka kwa sababu nilienda branch yao moja wan dawati la wateja pale nje mhudumu akaniambia ni NM1BTZTZ
Asanteni wote kwa majibu. Nilikuwa na mashaka kwa sababu nilienda branch yao moja wan dawati la wateja pale nje mhudumu akaniambia ni NM1BTZTZ