Anayejua swift code ya NMB Bank naomba msaada.

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Habari wakuu
Nahitaji swift code ya benki ya NMB .Inasomeka NMIBTZTZ. Hiyo character ya tatu ni namba 1 au ni herufi I ? Napiga namba zao za customer care hakuna option ya kuongea na mhudumu!
 
Asanteni wote kwa majibu. Nilikuwa na mashaka kwa sababu nilienda branch yao moja wan dawati la wateja pale nje mhudumu akaniambia ni NM1BTZTZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…