Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Udini unao wewe unaouhubiri humu ndani kila uchao.....Mimi muwazi Polisi na najeshi wazingatie elimu na weledi tukiangalia Udini tu itakuuwa shida huyo alifikaje kuwa na cheo kikubwa hivyo wakati kichwani mweupe?
Chizi huyo...We jamaa inamatatizo ya akili,udini tu
USSR
Huyo Yehodaya lini amekuwa CCM wa ITIKADI?!!Kwi Kwi Kwi Mtageukana sana msimu huu
Muonekano wake hauonyeshi hata kama kusoma na kuandika anajuaView attachment 1939177
Much know tu pale lakini ni empty kabisa huyu kada, huwezi kuwa critical thinking ukawa police.Hiyo sura kwa sisi tuliopitia psychology anaonekana kabisa na mental case… he looks like mongolian idiot!!
Polisi ni taasisi....taasisi gani inakosa CRITICAL THINKERS?!!!Much know tu pale lakini ni empty kabisa huyu kada, huwezi kuwa critical thinking ukawa police.
Critical thinking unakuwa kwenye international organization.
unaeweza kuta elimu yake kubwa ni kujua kusoma na kuandika halaf anakoment kwa mawazo yake ya kidini sio vzr kujiona mbora sana zaidi ya wengn na wala usidharau dini ya mtu wala kumhukumu kwa dini yakeUbaguzi! Kuna waislamu wengi tu wamesoma sana na CV zao nzuri kuliko wewe! Wewe peke yako ungekuwa na CV yako iliyo bora kuliko mwisilamu yeyote, ungekuwa na haki kuandika uliyo andika. Lakini kwa sababu huna - basi unatumia chuki na ubaguzi kuchangia.
Chuki ya dini unayo instigate, it will hurt you - be careful!
Hao ni machizi tu...Upo sahihi Mkuu hawa wengine inabidi tuwaangalie tuu unaona uwezo wake ndio umefikia pale na huwezi kumbadilisha mtu mwenye chuki za kidini au ukabila ni sumu mbaya sana kwa Taifa hao...
Yehodaya anajulikana humu ndani....unaeweza kuta elimu yake kubwa ni kujua kusoma na kuandika halaf anakoment kwa mawazo yake ya kidini sio vzr kujiona mbora sana zaidi ya wengn na wala usidharau dini ya mtu wala kumhukumu kwa dini yake
😍Tupe kwanza CV yako tuone kwa elimu yako, kama una uwezo wa kuichambua CV ya RPC wa Kinondoni!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] na hapo ndo unatakiwa kuwa makini sana.... Maana uyu shahidi ana uzoefu nilitegemea kutegua mitego ya wakili kibatala lakini ndo aliishia kuomba kukojoa na pale alikuwa adi anatetemeka ndo wakamtoa kidizaini akakojoe ili awe sawa!!!! Maana walipokuwa wanaelekea angeshidwa kuongea na angekaa kimya na ingekuwa hasara kwa jamuhuri[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nilichogundua hawa jamaa hawana uwezo wakupeleleza kesi huwa wanabambikia raia wengi sana kesi kama huyu ndo mkuu wa kitengo na majibu ndo haya kazi ipo walahiLakini pia maswali ya mawakili yana mitego sana, anakuuliza vitu we unaona maswali marahisi kumbe unaenda kujifunga huko mbele
Hii comment yako ndiyo inaonyesha ulivyo na akili ndogo! Hii ni fallacy generalization. Aliyeenda shule haongei upuuzi kama huu hata kama ni kuhusu Wahdzabe.Ninachojua ni muislamu
Elimu sijui sababu waislamu wengi isipokuwa wachache huwa hawapendi elimu dunia ila wanataka haki Sawa kwenye
Ninachojua ni muislamu
Elimu sijui sababu waislamu wengi isipokuwa wachache huwa hawapendi elimu dunia ila wanataka haki Sawa kwenye ajira na vyeo ikiwemo Polisi
🤣🤣Hii comment yako ndiyo inaonyesha ulivyo na akili ndogo! Hii ni fallacy generalization. Aliyeenda shule haongei upuuzi kama huu hata kama ni kuhusu Wahdzabe.
Acha kubwabwaja kama kasuku kwa mambo usiyoyajua.Ninachojua ni muislamu
Elimu sijui sababu waislamu wengi isipokuwa wachache huwa hawapendi elimu dunia ila wanataka haki Sawa kwenye ajira na vyeo ikiwemo Polisi wakati eimu hawana
unawez kuta ht kingai kamzid elimu..huyo mropokajAcha kubwabwaja kama kasuku kwa mambo usiyoyajua.
Jina : Ramadhani kingai
Umri: sijui
Kabila : msambaa
Alipozaliwa: bumbuli/ lushoto/ Tanga
Dini: Muislamu
Elimu : BA (PS& PA) UDSM
sec: : Galanos sec school Tanga
Primary: BUMBULI pr school
Miaka ndo sijui.
Huyo ni msomi mzee.Mimi muwazi Polisi na najeshi wazingatie elimu na weledi tukiangalia Udini tu itakuuwa shida huyo alifikaje kuwa na cheo kikubwa hivyo wakati kichwani mweupe?
Anakadigrii kake kamoja kamoja kakudesa hapo mwl Nyerere anamchukulia kila mtu poa poa. Anachanganya elimu za watu na dini zao vinahusiana nn sasa??????unawez kuta ht kingai kamzid elimu..huyo mropokaj
Nahisi ni expert wa tortureRPC Kinondoni leo ni shahidi aliyesimama Mahakamani kutoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe na wenzake ya Ugaidi.
Katika kufuatilia cross examination kiongozi huyu wa Jeshi la Polisi amejichanganya sana na hivyo kushindwa kusimama kwa nafasi ya afisa mkubwa kwenye Jeshi na mchunguzi.
Yawezekana tatizo ni elimu au tatizo ni aina ya kesi ndiyo sababu ya yeye kubanwa mahakamani hadi wakati mwingine kupata gaidance ya Mahakama.
Ili tumfahamu vizuri kama ambavyo nchi nyingine ufanya, tunaomba tupate CV yake kuona kama kwenye criminal investigation huyu anaelewa au Basi kawekwa tu.
Lakini pia kesi hii ameanza kuichunguza akiwa Arusha wakati mazingira ya kesi yapo Kilimanjaro na Dar es Salaam, je huyu ndiye alionekana nafuu Kati ya ma RCO nchi nzima au kwanini yeye na si RCO Kilimanjaro Wala Dar?
Loh,tunarudi tena yale ya Kihiyo!!Kwenye kesi ya Mrema kuna msambaa kuna mtu aliyakoroga akiitwa Kihiyo.Sasa tena Msambaa anayeitwa Kingai,MmhAcha kubwabwaja kama kasuku kwa mambo usiyoyajua.
Jina : Ramadhani kingai
Umri: sijui
Kabila : msambaa
Alipozaliwa: bumbuli/ lushoto/ Tanga
Dini: Muislamu
Elimu : BA (PS& PA) UDSM
sec: : Galanos sec school Tanga
Primary: BUMBULI pr school
Miaka ndo sijui.