Anayelengwa ni Mwabukusi, hao wengine ni Gelesha tu

Anayelengwa ni Mwabukusi, hao wengine ni Gelesha tu

Wewe usitake kuleta simanzi za kidini. Kwa kuwa Muislam ndiyo nipandiwe kichwani?

Soma historia ya nchi hii, hakutupandia kichwani Mreno, Waislam ndiyo tulimtowa. Hakutupandia kichwani Mjerumani, Waislam pekee ndiyo tulipamba nae, osma hitoria ya vita vya majimaji. na Mkwawa. Soma kuhusu Bushiri na milambo na wengine wengi ambao historia ya Muingereza ikawaficha ficha.

Soma kuhusu Muingerea, ni kina nani walinzisha kudai uhuru mpaka unapatikana.

Soma kuhusu baada ya uhuru mpaka leo hii ujionee jinsi kanisa linavyotumika kujaribu kuuzuwia Waislam wanavyoumizwa. Mpaka leo hii ushahidi kamili ni wewe kibaraka wa wazungu. Kidogo tu, umerukia "Muislam", Uislam ulikuwa unahusu nini kwenye huu mjadala?

Mnalikoroga.
uislam wa dizaini hii yako, haufai hata kidogo, kwanza unajidhaulishwa na kuuzalilisha uislam. MUslim ni dini ya amani na upendo . Aliyekufundisha madrasa alikupandikizia chembechembe za ki jihad, angalia tu siku usijekujilipua na mabomu!!
 
Mwabukusi Boniface Mwaka 2020 aligombea ubunge Mbeya Mjini kupitia NCCR -Mageuzi na kama mwenzake wa CHADEMA Joseph Mbilinyi (Sugu) alidhulumiwa nafasi yake.

Kuna watu kama Tulia Ackson Mbunge wa sasa wa Mbeya Mjini, wanaoona kwamba kete hii ya Mwabukusi ya utetezi dhidi ya Ubinafishaji wa bandari inampa wafuasi wa kudumu Mwabukusi.

Kama ombi la Tulia la kugawanywa kwa Jimbo la Mbeya Mjini litakubaliwa, bado tishio la kukutana na upinzani mkali ama toka kwa Mwabukusi au Sugu litakuwepo.

Kwa Hiyo hofu dhidi ya Mwabukusi inatoka zaidi kwa Tulia Ackson kuliko kwa Rais Samia.
Nadhani Mwabukusi ni zaidi ya kitisho cha ubunge kwa Tulia.. He is far away above that.. Mwabukusi ni kitisho thabiti cha kuangusha utawala dhalimu na kufisha kisheria sakata la mkataba mbovu wa DPW
 
uislam wa dizaini hii yako, haufai hata kidogo, kwanza unajidhaulishwa na kuuzalilisha uislam. MUslim ni dini ya amani na upendo . Aliyekufundisha madrasa alikupandikizia chembechembe za ki jihad, angalia tu siku usijekujilipua na mabomu!!
Huyo kikongwe ana chuki ya historia ya Uhuru kuwaacha nje "wazee wake" lakini anajificha kwenye kivuli cha udini.

Hawezi kujilipua hata siku Moja huyo.
Uchochezi wa kidini ndiyo unaomfanya aishi mjini. Kwa Ivo hawezi kuacha.
 
Wewe usitake kuleta simanzi za kidini. Kwa kuwa Muislam ndiyo nipandiwe kichwani?

Soma historia ya nchi hii, hakutupandia kichwani Mreno, Waislam ndiyo tulimtowa. Hakutupandia kichwani Mjerumani, Waislam pekee ndiyo tulipamba nae, osma hitoria ya vita vya majimaji. na Mkwawa. Soma kuhusu Bushiri na milambo na wengine wengi ambao historia ya Muingereza ikawaficha ficha.

Soma kuhusu Muingerea, ni kina nani walinzisha kudai uhuru mpaka unapatikana.

Soma kuhusu baada ya uhuru mpaka leo hii ujionee jinsi kanisa linavyotumika kujaribu kuuzuwia Waislam wanavyoumizwa. Mpaka leo hii ushahidi kamili ni wewe kibaraka wa wazungu. Kidogo tu, umerukia "Muislam", Uislam ulikuwa unahusu nini kwenye huu mjadala?

Mnalikoroga.
Kulikologa wapi weeeew,salama leku ositazii etu unapiga biti na mlivo wachache tutawanyuka nyie pimbi
 
Mwabukusi Boniface Mwaka 2020 aligombea ubunge Mbeya Mjini kupitia NCCR -Mageuzi na kama mwenzake wa CHADEMA Joseph Mbilinyi (Sugu) alidhulumiwa nafasi yake.

Kuna watu kama Tulia Ackson Mbunge wa sasa wa Mbeya Mjini, wanaoona kwamba kete hii ya Mwabukusi ya utetezi dhidi ya Ubinafishaji wa bandari inampa wafuasi wa kudumu Mwabukusi.

Kama ombi la Tulia la kugawanywa kwa Jimbo la Mbeya Mjini litakubaliwa, bado tishio la kukutana na upinzani mkali ama toka kwa Mwabukusi au Sugu litakuwepo.

Kwa Hiyo hofu dhidi ya Mwabukusi inatoka zaidi kwa Tulia Ackson kuliko kwa Rais Samia.
Mwambukusi amepata Taasisi kubwa sasa ya kumuunga mkono. Zinaposimama taasisi kubwa kama Kanisa Katoliki Raia kama Mwambukusi na Mdude wanakuwa Salaam wanakuwa salama
 
Iliimbwa na msanii nguli wa Hip Hop, Solo Thang aka Ulamaa,

Wengine wananirubuni eti nashindania gari,
Kumbe wameshapanga wampe nani toka awali,
Sitorudia kosa hata zawadi waweke meli,
Waongeze ghorofa mbili, wanikabidhi na sheli


Solo Thang ft Q Chief - kilio changu (2004)

Sasa hata kura za maoni au uteuzi katika vyama haujafanyika ila tayari Tulia ni mgombea ubunge wa CCM 2025, SUGU mgombea ubunge CHADEMA 2025, Mwabukusi Mgombea ubunge 2025.

Katiba mpya huenda ikawa kitabu tu kama hivi vilivyopo sasa. Ukumbukwe hayati mchungaji Mtikila kwa kupambania uwepo wa mgombea binafsi.
 
Wewe usitake kuleta simanzi za kidini. Kwa kuwa Muislam ndiyo nipandiwe kichwani?

Soma historia ya nchi hii, hakutupandia kichwani Mreno, Waislam ndiyo tulimtowa. Hakutupandia kichwani Mjerumani, Waislam pekee ndiyo tulipamba nae, osma hitoria ya vita vya majimaji. na Mkwawa. Soma kuhusu Bushiri na milambo na wengine wengi ambao historia ya Muingereza ikawaficha ficha.

Soma kuhusu Muingerea, ni kina nani walinzisha kudai uhuru mpaka unapatikana.

Soma kuhusu baada ya uhuru mpaka leo hii ujionee jinsi kanisa linavyotumika kujaribu kuuzuwia Waislam wanavyoumizwa. Mpaka leo hii ushahidi kamili ni wewe kibaraka wa wazungu. Kidogo tu, umerukia "Muislam", Uislam ulikuwa unahusu nini kwenye huu mjadala?

Mnalikoroga.
Ipo namna yoyote unaweza amini sisi wakristo sio ngombe
 
Sasa hata kura za maoni au uteuzi katika vyama haujafanyika ila tayari Tulia ni mgombea ubunge wa CCM 2025, SUGU mgombea ubunge CHADEMA 2025, Mwabukusi Mgombea ubunge 2025.
Siasa dunia nzima Iko Ivo.

Kwa mfano ni mwendawazimu tu atakayesema kuwa Donald Trump hategemewi kuwa Mgombea Urais kupitia Republican kwenye uchaguzi Wa mwaka 2024.


Kwa Ivo maoteo (Speculations) ni jambo la kawaida kwenye Siasa.
 
Back
Top Bottom