Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Hilo ndo jibuWachezaji 6 wa Singida akiwemo Joash Onyango, Duke Abuya, Marou Tchakei, Bruno, Rupia, abubakary Khomein wamejiunga Ihefu dirisha dogo linalofungwa kesho, hao ni wachezaji muhimu sana how possible ghafla unawahamishia Ihefu
Kuna mchezo gani unaendelea ndani ya timu hizo, ndio kusema Ihefu ss kuifunga Yanga ndio basi tena kwa sababu mwenye Singida ndio mmiliki, je timu hizi zikikutana ndio yale yale ya Mtibwa na Kagera Sugar? Itakuwaje Simba ikiinunua Coastal, Azam ikanunua timu nne kutakuwa na ligi kweli hapo?
Au wajanja wameangalia sheria zetu wameona zina mapungufu ngoja wa take advantage?
Shoga yao mkuu ndie yule alikupiga 5G?Utahangaika bure tu.
Hizo timu pamoja na shoga yao mkuu,wananufaika na ufisadi serikalini hivyo ni vigumu kushindana nao hadi atokee Rais mkali kama Maguguli ili watu wajibu wanatoa wapi pesa wakati wafanya biashara wakubwa wanapata shida kuendesha timu zao
Hii post ni ya mtego sana mkuu,,Gadiel Michael, Joash, Kyombo, Kakolanya, Ndemla, Kagele Wawa wote hawa walitoka 5imba kwenda SFG je tuhoji umiliki wa Simba na Singida FG?
Kwnza serikali ichunguze mmiliki wa hizo timu,,Kwani timu kusajili wachezaji kutoka timu nyingine kuna shida yoyote?
1979Magufuli mbona hujibu hii comment?Kyombo Kakolanya na Joash walitoka 5imba kwenda Singida FG mbona hamkusema hayo maneno? Kuna kipindi Manula, Wawa, Bocco, Nyoni na Kapombe kwa pamoja walitoka Azam FC kwenda 5imba mbona haikua ajabu?
Kwa hisani ya ukikaidi utapigwa2
Uzi ufungweGadiel Michael, Joash, Kyombo, Kakolanya, Ndemla, Kagele Wawa wote hawa walitoka 5imba kwenda SFG je tuhoji umiliki wa Simba na Singida FG?
Umepigaje hapo?Gadiel Michael, Joash, Kyombo, Kakolanya, Ndemla, Kagele Wawa wote hawa walitoka 5imba kwenda SFG je tuhoji umiliki wa Simba na Singida FG?
Hahahaa! Nyani halioni kundule, sasahiviumeilalamikia coastal union halafu unasema yanga hawalalamikiBinafsi sijawahi kuona, Yanga ikiifunga Singida kiulaini mpaka tuseme Kuna namna.
Ila Simba na Coastal unaona kabisa mechi imechezwa kimchongo. Mwaka jana Saidoo alifunga goli 5 mechi moja kimchongo ilimradi awe top scorer.
Wafungaji wengi wa Simba, utakuta Coaster peke yake aliwapa goli kuanzia 3.
Lakini mashabiki wa Simba kwa kulalamika ni fire.
Mpaka Azam.ambayo buwa Yanga inatumika nguvu, ufundi, mbinu na ukubwa kuifunga huwa inaonesha Yanga kawanunua.
Simba mkishindwa kufunga timu, jipangeni siyo kutafuta lawama.
Sijawahi kusikia shabiki wa Yanga, akiwalaumu Simba kwa kuwanunua Ihefu ambao mara nyingi wanaifunga Yanga lakini Simba wanaifunga bila shida.
Simba wanalalamika mpaka wanakera.
Na sasa hivi baada ya AFCON, kina Sillah, Bajana, Feitoto, Akamiko, Kipre Jr wote wanarudiwana mechi na Simba.
Tusubiri mpigwe 5, kwa usajili wenu wa kina Baba car
Hizo timu zinamilikiwa na wanasiasa mafisadi wa awamu ya SamiaWachezaji 6 wa Singida akiwemo Joash Onyango, Duke Abuya, Marou Tchakei, Bruno, Rupia, abubakary Khomein wamejiunga Ihefu dirisha dogo linalofungwa kesho, hao ni wachezaji muhimu sana how possible ghafla unawahamishia Ihefu
Kuna mchezo gani unaendelea ndani ya timu hizo, ndio kusema Ihefu ss kuifunga Yanga ndio basi tena kwa sababu mwenye Singida ndio mmiliki, je timu hizi zikikutana ndio yale yale ya Mtibwa na Kagera Sugar? Itakuwaje Simba ikiinunua Coastal, Azam ikanunua timu nne kutakuwa na ligi kweli hapo?
Au wajanja wameangalia sheria zetu wameona zina mapungufu ngoja wa take advantage?
Ihefu wamiliki wake ni wale wafanyabiashara ya mpunga Mbarali, sijaona connection yoyote na SingidaHii post ni ya mtego sana mkuu,,
Mtoa mada amelenga mmiliki wa ihefu na singida wachunguzwe.
Haiwezekani mtumishi wa serikali amiliki timu kubwa za mpira..
.
Hii SPANA utampasua utosi 😁Gadiel Michael, Joash, Kyombo, Kakolanya, Ndemla, Kagele Wawa wote hawa walitoka 5imba kwenda SFG je tuhoji umiliki wa Simba na Singida FG?