Anayemiliki Singida na Ihefu achunguzwe, ligi ya NBC inakwenda shimoni

Anayemiliki Singida na Ihefu achunguzwe, ligi ya NBC inakwenda shimoni

Screenshot_20240114-210717.png

Wachezaji 6 wa Singida akiwemo Joash Onyango, Duke Abuya, Marou Tchakei, Bruno, Rupia, abubakary Khomein wamejiunga Ihefu dirisha dogo linalofungwa kesho, hao ni wachezaji muhimu sana how possible ghafla unawahamishia Ihefu

Kuna mchezo gani unaendelea ndani ya timu hizo, ndio kusema Ihefu ss kuifunga Yanga ndio basi tena kwa sababu mwenye Singida ndio mmiliki, je timu hizi zikikutana ndio yale yale ya Mtibwa na Kagera Sugar? Itakuwaje Simba ikiinunua Coastal, Azam ikanunua timu nne kutakuwa na ligi kweli hapo?

Au wajanja wameangalia sheria zetu wameona zina mapungufu ngoja wa take advantage?
Hilo ndo jibu
 
Utahangaika bure tu.
Hizo timu pamoja na shoga yao mkuu,wananufaika na ufisadi serikalini hivyo ni vigumu kushindana nao hadi atokee Rais mkali kama Maguguli ili watu wajibu wanatoa wapi pesa wakati wafanya biashara wakubwa wanapata shida kuendesha timu zao
Shoga yao mkuu ndie yule alikupiga 5G?
 
Gadiel Michael, Joash, Kyombo, Kakolanya, Ndemla, Kagele Wawa wote hawa walitoka 5imba kwenda SFG je tuhoji umiliki wa Simba na Singida FG?
Hii post ni ya mtego sana mkuu,,

Mtoa mada amelenga mmiliki wa ihefu na singida wachunguzwe.

Haiwezekani mtumishi wa serikali amiliki timu kubwa za mpira..
.
 
KIZIMKAZI mwenyewe ndio anamfuga waziri wake. Anaachana n singida kisa Iko n madeni mengi CAF. Ananunua ihefu aiko na deni llte CAF.

KIZIMKAZI ni WA hajabu mnoo cjui anamuogopea nn waziri Wake.
 
Kyombo Kakolanya na Joash walitoka 5imba kwenda Singida FG mbona hamkusema hayo maneno? Kuna kipindi Manula, Wawa, Bocco, Nyoni na Kapombe kwa pamoja walitoka Azam FC kwenda 5imba mbona haikua ajabu?

Kwa hisani ya ukikaidi utapigwa2
1979Magufuli mbona hujibu hii comment?

Umejikuta umesawajika huna cha kujibu. Futa hili liuzi
 
Binafsi sijawahi kuona, Yanga ikiifunga Singida kiulaini mpaka tuseme Kuna namna.

Ila Simba na Coastal unaona kabisa mechi imechezwa kimchongo. Mwaka jana Saidoo alifunga goli 5 mechi moja kimchongo ilimradi awe top scorer.

Wafungaji wengi wa Simba, utakuta Coaster peke yake aliwapa goli kuanzia 3.

Lakini mashabiki wa Simba kwa kulalamika ni fire.

Mpaka Azam.ambayo buwa Yanga inatumika nguvu, ufundi, mbinu na ukubwa kuifunga huwa inaonesha Yanga kawanunua.

Simba mkishindwa kufunga timu, jipangeni siyo kutafuta lawama.

Sijawahi kusikia shabiki wa Yanga, akiwalaumu Simba kwa kuwanunua Ihefu ambao mara nyingi wanaifunga Yanga lakini Simba wanaifunga bila shida.

Simba wanalalamika mpaka wanakera.

Na sasa hivi baada ya AFCON, kina Sillah, Bajana, Feitoto, Akamiko, Kipre Jr wote wanarudiwana mechi na Simba.

Tusubiri mpigwe 5, kwa usajili wenu wa kina Baba car
Hahahaa! Nyani halioni kundule, sasahiviumeilalamikia coastal union halafu unasema yanga hawalalamiki
 
Wachezaji 6 wa Singida akiwemo Joash Onyango, Duke Abuya, Marou Tchakei, Bruno, Rupia, abubakary Khomein wamejiunga Ihefu dirisha dogo linalofungwa kesho, hao ni wachezaji muhimu sana how possible ghafla unawahamishia Ihefu

Kuna mchezo gani unaendelea ndani ya timu hizo, ndio kusema Ihefu ss kuifunga Yanga ndio basi tena kwa sababu mwenye Singida ndio mmiliki, je timu hizi zikikutana ndio yale yale ya Mtibwa na Kagera Sugar? Itakuwaje Simba ikiinunua Coastal, Azam ikanunua timu nne kutakuwa na ligi kweli hapo?

Au wajanja wameangalia sheria zetu wameona zina mapungufu ngoja wa take advantage?
Hizo timu zinamilikiwa na wanasiasa mafisadi wa awamu ya Samia
 
Hii post ni ya mtego sana mkuu,,

Mtoa mada amelenga mmiliki wa ihefu na singida wachunguzwe.

Haiwezekani mtumishi wa serikali amiliki timu kubwa za mpira..
.
Ihefu wamiliki wake ni wale wafanyabiashara ya mpunga Mbarali, sijaona connection yoyote na Singida
 
Back
Top Bottom