MLALUKO JR
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 962
- 309
- Thread starter
-
- #21
Napenda kujua zaidi ubobezi wake ktk masuala ya intelligence maana hta intelligence ya Kenya anawachezea akili na kuwaanika mbinu zao.Jamaa anauwezo sana.ni mkenya mweye asili ya kisomali.
Mkuu hiyo Competence ndio muhimu katika kazi, kizungu ni Mbwembwe tu. Hapa bongo si unaona wanaojua Kizungu wanatupatia nini!Kitu kimoja ambacho nimekigundua huyu jamaa ame excel kwenye taarifa za kichunguzi. Competence yake ndio inamuweka mjini. Kwenye shule naona ni wa kawaida hata nliona akihojiwa na tv flani hivi ana kidhungu kinakaribiana na baba naniii yaani. Competence ndio inampa kula
Hebu tupe dondoo hizo mkuunasikia jamaa alifikaga kutaka kumhoji OSAMA
Kweli kabsa mkuuMohammed ally jamaa anajua na sio hii miandishi ya habari ya Tanzania ...
Kwa upande wangu sifahamu muda Wa kipindi,but videos zipo YouTube ukiSearch "Jicho Pevu"Naomba nijue muda wa kipnd kinavyorushwa
Nani huyo?Jamaa huko fit sana kwenye eneo lake.....ni kama anamkaribia yule mwandishi wa kitanzania aliyemuambia Rais kuwa hajuti kumchagua, hawa watu vichwa sana.
Kweli na mwingine anaitwa Ahmed DarweshNa huwezi kumtaja huy Mo bila kumtaja John Allan Namo.
Habari zenu wanaJf.
Poleni kwa waliopatwa na matatizo na hongereni nyote mlifanikisha mipango yenu,Shukrani za pekee anastahiki MwenyeziMungu Mkusidiwa.
Kama mdau na mfuatiliaji wa habari za kiintelejensia na mpenzi wa kipindi cha Jicho Pevu kinachorushwa na KTN television ya Kenya.
Napenda kumfahamu Mtangazaji Mahiri anayeitwa Mohammed Ali.
Je,ana elimu gani kuhusu intelligence?
Je,nani anampa nguvu mpka kufikia kujitoa vile kufatilia vitu nyeti mfano:Kifo cha George Saitoti na engine??
Je,kwann hashtakiwi kama kweli anakiuka sheria za Kenya??
Natanguliza shukrani kwa wote!
Napenda kujifunza habari hizo kupitia yeye.
Wasalaam!
Mkuu!unaweza kutuwekea clip hiyo.Huyu jamaa aliakikwa kwenye mkutano wa wadau wa habari Tanzania mwanzoni mwa mwaka huu, aliwaponda kweli waandishi wa Tanzania kuwa wanajipendekeza kwa kuandika habari za kuwafurahisha viongozi. Na ni waoga sana, badala ya kusimamia haki wao wanaikandamiza. Alinifurahisha kwa kusema wanahabari wa Tanzania wana to-ngo-zana na serikali watapewa mi-mba. Wamepiwa mi-mba ya kwanza ambayo ni Sheria ya huduma za habari lakini bado wanendelea ku-tongozana na serikali watapigwa mi-mba ya pili.
Sonko ni nani mkuu?Jamaa yupo vizuri sana... Na kuna kipindi aliwahi omba hifadhi ughaibuni kulikuwa Na tetesi kuwa kuna njama Za kumuua yy Na mpiga picha wake, Na aliyetoa siri hiyo Ni Sonko... Ila MUNGU huwalinda wale wote wafanyao Kazi zao Kwa haki. Adumu mzee wa Jicho pevu[emoji1488][emoji1488]
Bahati mbaya sina hiyo clip, lakini Tanzania Editors Forum walikuwa wanachukua video tukio lote watakuwa nazoMkuu!unaweza kutuwekea clip hiyo.
Maana nmehc kusisima kwa kusikia maneno yake kwa waandishi Wa tz.
ahmed darwesh ameshafarikiKweli na mwingine anaitwa Ahmed Darwesh
Innalilah wainnaliLlah rajiun.ahmed darwesh ameshafariki