Sio kweli jamaa hana kingereza kizuri... na kulinganisha pia sio sawa. Hawafanani hata kidogo, ukizingatia hawa wenzetu wana exposure english ni lugha ya mtaani pia.Mkuu hiyo Competence ndio muhimu katika kazi, kizungu ni Mbwembwe tu. Hapa bongo si unaona wanaojua Kizungu wanatupatia nini!
Pole sana Mkuu!Ndio nchi yetu hiyonamkubali sana mohamed ally,nami shahada yangu ya kwanza ni ya uandishi wa habari,ninao uwezo wa kufanya zaidi ya mohamed ally kwani nami siogopi kufa kwani ni mfu mtarajiwa,is a matter of time tu,na kizuri zaidi nina uzoefu mkubwa wa upelelezi kwani nilifanya kazi kitengo hicho kwa miaka 9,ninapenda kufanya vipindi kama vyake na nilishaandika proposal kwenda media house mbalimbali hapa bongo za kufanya investigative journalism sikujibiwa,ni tv station moja tu ndio walinijibu kwamba wanaogopa kurusha vipindi kama hivyo kwenye station yao kwani nitawagombanisha na serikali kwa kufichua maovu yao,nikaishiwa nguvu kabisa
Ila sikuwahi kushuhudia vipindi vya Muro,nahisi nilikuwa bado nipo level za chini kielimu(O'Level)Umesahau ya yule wa TBC.. alivyofanyiwa??
Mbona kingeli chake kiko vizuri tyu!!Japo si kama cha watoto Wa Malkia ElizabethSio kweli jamaa hana kingereza kizuri... na kulinganisha pia sio sawa. Hawafanani hata kidogo, ukizingatia hawa wenzetu wana exposure english ni lugha ya mtaani pia.
Kuna siku alikua na ziara katika ngome za al shabab na kufanya nao mahojiano. Pia alikua mwandishi wa kwanza kutembelea ikulu ya Puntland na kufa interview na viongozi mbalimbali wa kiraia na kijeshi.nasikia jamaa alifikaga kutaka kumhoji OSAMA
Engineer....nakusalimuJamaa kichwa sana sio sawa na wale waliojazana ikulu kumuuliza magu hobi yake nini.... mbafu kabisa
Mkuu hapa ndipo nilipowafahamu manabii fake na utapeli wao. Na ndio siku nimemfahamu Mohammed AllyMimi nilianza kumfahamu kwenye kipindi alichokiita makril ya injili akiwachambua manabii fake
Habari zenu wanaJf.
Poleni kwa waliopatwa na matatizo na hongereni nyote mlifanikisha mipango yenu,Shukrani za pekee anastahiki MwenyeziMungu Mkusidiwa.
Kama mdau na mfuatiliaji wa habari za kiintelejensia na mpenzi wa kipindi cha Jicho Pevu kinachorushwa na KTN television ya Kenya.
Napenda kumfahamu Mtangazaji Mahiri anayeitwa Mohammed Ali.
Je,ana elimu gani kuhusu intelligence?
Je,nani anampa nguvu mpka kufikia kujitoa vile kufatilia vitu nyeti mfano:Kifo cha George Saitoti na engine??
Je,kwann hashtakiwi kama kweli anakiuka sheria za Kenya??
Natanguliza shukrani kwa wote!
Napenda kujifunza habari hizo kupitia yeye.
Wasalaam!
Na mpiga picha waoNa huwezi kumtaja huy Mo bila kumtaja John Allan Namo.
Nimepata Idea
ushoga unaenea bongo kwa kasi sana! inatishaMbona kingeli chake kiko vizuri TYU!!Japo si kama cha watoto Wa Malkia Elizabeth
ushoga unaenea bongo kwa kasi sana! inatishaMbona kingeli chake kiko vizuri TYU!!Japo si kama cha watoto Wa Malkia Elizabeth
Kweli mkuu.. Ila ninae swahiba wangu huku Mohammed Ally ni chiz wa kupindukia. Mpaka namuuliza we mbona hufanani na kina mo ally!?Mohammed Ally.....!!! haya majina haya ya Mo na Ally duuuuh usumbuf mtupu katka uso wa dunia
Fafanua!kama waufikiria ushoga na kuutenda Basi iwe laana kwa kizazi chakoushoga unaenea bongo kwa kasi sana! inatisha