Anayemjua Refa Kayoko amsomee hii

Hakuna refa hapo. Kuna muda alitoka mchezoni kwa kujibizana na wachezaji maneno ya karaha!

Mbaya zaidi maneno yenyewe yalikuwa yanasikika, lakini pia yanaeleweka kupitia matamshi yake.
 
Siku zote Mtu akitimiza wajibu wake lazima achukiwe maana Kuna mchezaji Kayoko alimwambie Aache ufala waacheze Mpira
 
Kayoko amewasha full
[emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Siku zote Mtu akitimiza wajibu wake lazima achukiwe maana Kuna mchezaji Kayoko alimwambie Aache ufala waacheze Mpira
Refa hatakiwi kuongea zinatakiwa kuongea kadi na filimbi tu! Akiacha hiyo tabia yake ya kujibizana na wachezaji atakua refa mzuri, vinginevyo hii kazi itamshinda kbs!
 
Marefa wote wapo ivyo ni watu wa matusi matusi
 
Mental case hii
 
Kuna dalili 1000 za kuteseka na hii ni mojawapo. Pole sana mtoa mada
 
Mpira ulimshinda ndiyo maana unaona licha ya mchezo kusimama simama muda mrefu Bado waliongeza dakika 3.
Samahani mkuu hivi dakika za nyongeza huwa zinaongezwa na mwamuzi wa kati au wale waamuzi walio benchi wanaofuatilia mwenendo mzima wa mchezo husika
 
Marefa wanaotambulika utawaona Qatar kwenye world cup, hawa wa kwetu nje ya Tanzania labda wakachezeshe soka la wanawake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…