Anayemjua Refa Kayoko amsomee hii

Anayemjua Refa Kayoko amsomee hii

Hakuna refa hapo. Kuna muda alitoka mchezoni kwa kujibizana na wachezaji maneno ya karaha!

Mbaya zaidi maneno yenyewe yalikuwa yanasikika, lakini pia yanaeleweka kupitia matamshi yake.
 
Siku zote Mtu akitimiza wajibu wake lazima achukiwe maana Kuna mchezaji Kayoko alimwambie Aache ufala waacheze Mpira
 
Hakuna refa profesional anaefoka hivi uwanjan, ni mpuuzi anayelazimisha kutisha ili aogopewe, ndiyo anaweza fanya hivi.

Refa siyo adui wa mchezaji ni rafiki mkubwa wa mchezaji, ukimuiga Corina kutumbua mijicho hivyo haimaanishi kuwa wewe utakuwa Corina, lakini ukumbuke Corina vile ndivyo alivyo.

Mwenye namba ya huyu lofa amwambie marefa wenye akili Duniani wanacheka na wachezaji uwanjani kwa maana pale ni ofisini kwao na wale ni waajiriwa wenzie. Ukiona mfanyakazi anamfokea mfanyakazi mwenzie kazini namna hii, basi huyo anatafuta kiki na kujikomba kwa mabosi.

Halafu ajifunze kutoa maamuzi ya ushindi kwenye mechi zenye mvuto kama zile na siyo kusawazisha mchezo kwa kumwaga mikadi ili ipatikane suluhu na yeye ajivue lawama toka kila pande.

View attachment 2396408View attachment 2396409View attachment 2396410View attachment 2396411
Kayoko amewasha full
[emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Siku zote Mtu akitimiza wajibu wake lazima achukiwe maana Kuna mchezaji Kayoko alimwambie Aache ufala waacheze Mpira
Refa hatakiwi kuongea zinatakiwa kuongea kadi na filimbi tu! Akiacha hiyo tabia yake ya kujibizana na wachezaji atakua refa mzuri, vinginevyo hii kazi itamshinda kbs!
 
Marefa wote wapo ivyo ni watu wa matusi matusi
 
Hakuna refa profesional anaefoka hivi uwanjan, ni mpuuzi anayelazimisha kutisha ili aogopewe, ndiyo anaweza fanya hivi.

Refa siyo adui wa mchezaji ni rafiki mkubwa wa mchezaji, ukimuiga Corina kutumbua mijicho hivyo haimaanishi kuwa wewe utakuwa Corina, lakini ukumbuke Corina vile ndivyo alivyo.

Mwenye namba ya huyu lofa amwambie marefa wenye akili Duniani wanacheka na wachezaji uwanjani kwa maana pale ni ofisini kwao na wale ni waajiriwa wenzie. Ukiona mfanyakazi anamfokea mfanyakazi mwenzie kazini namna hii, basi huyo anatafuta kiki na kujikomba kwa mabosi.

Halafu ajifunze kutoa maamuzi ya ushindi kwenye mechi zenye mvuto kama zile na siyo kusawazisha mchezo kwa kumwaga mikadi ili ipatikane suluhu na yeye ajivue lawama toka kila pande.

View attachment 2396408View attachment 2396409View attachment 2396410View attachment 2396411
Mental case hii
 
Kuna dalili 1000 za kuteseka na hii ni mojawapo. Pole sana mtoa mada
 
Mpira ulimshinda ndiyo maana unaona licha ya mchezo kusimama simama muda mrefu Bado waliongeza dakika 3.
Samahani mkuu hivi dakika za nyongeza huwa zinaongezwa na mwamuzi wa kati au wale waamuzi walio benchi wanaofuatilia mwenendo mzima wa mchezo husika
 
Hakuna refa profesional anaefoka hivi uwanjan, ni mpuuzi anayelazimisha kutisha ili aogopewe, ndiyo anaweza fanya hivi.

Refa siyo adui wa mchezaji ni rafiki mkubwa wa mchezaji, ukimuiga Corina kutumbua mijicho hivyo haimaanishi kuwa wewe utakuwa Corina, lakini ukumbuke Corina vile ndivyo alivyo.

Mwenye namba ya huyu lofa amwambie marefa wenye akili Duniani wanacheka na wachezaji uwanjani kwa maana pale ni ofisini kwao na wale ni waajiriwa wenzie. Ukiona mfanyakazi anamfokea mfanyakazi mwenzie kazini namna hii, basi huyo anatafuta kiki na kujikomba kwa mabosi.

Halafu ajifunze kutoa maamuzi ya ushindi kwenye mechi zenye mvuto kama zile na siyo kusawazisha mchezo kwa kumwaga mikadi ili ipatikane suluhu na yeye ajivue lawama toka kila pande.

View attachment 2396408View attachment 2396409View attachment 2396410View attachment 2396411
Marefa wanaotambulika utawaona Qatar kwenye world cup, hawa wa kwetu nje ya Tanzania labda wakachezeshe soka la wanawake.
 
Back
Top Bottom