Anayemtuma au kumtumia Wilbroad Slaa kuichafua CHADEMA hatafanikiwa

Anayemtuma au kumtumia Wilbroad Slaa kuichafua CHADEMA hatafanikiwa

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Recently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.

Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.

 
Recently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.

Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.




Jinai haifi, nadhani polisi wana pa kuanzia...Otherwise wawe walikamatwa na kufikishwa kwa vyombo vya sheria
 
Chadema kujifanya Malaika bhana, yani ninyi mkiikosoa serikali ya CCM tena kwa matusi juu ni democracy lakini wengine wakiwakosoa ninyi wametumwa [emoji848]

TZ ni nchi rahisi sana kuiongoza [emoji2]
 
Recently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.

Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.


Tulieni mzodolewe, mlizoea kumuonea Mbatia na Lipumba sasa mjiandae, siri zenu nje nje go dr slaa. Umoja Party mnakipa umaarufu wenyewe kabla hata kusajiliwa.Nimeamini Umoja Party kina vichwa vizuri yaani chama hakijasajiliwa but tayari kimeanza kujambisha people
 
Ccm wakiumana wenyewe kwa wenyewe mnashangilia ila nyie chadema mkipigana za uso wenyewe kwa wenyewe mnamuona ni mbaya
 
... lipuuzeni hilo lizee; halina jipya kwa sasa. Aina ya mtu aliyezoea uongo uongo ili aishi mjini. Baada ya kesi ya ugaidi kubumba wanawatuma mawakala wao wenye roho za kishetani kujaribu kueneza vijisababu vingine vya kuendelea kuichafua Chadema. Kwa neema za Mungu wa Mbinguni hawataweza; kama kubwa lao na vyombo vyote walishindwa huyu mjinga hataweza!
 
... lipuuzeni hilo lizee; halina jipya kwa sasa. Aina ya mtu aliyezoea uongo uongo ili aishi mjini. Baada ya kesi ya ugaidi kubumba wanawatuma mawakala wao wenye roho za kishetani kujaribu kueneza vijisababu vingine vya kuendelea kuichafua Chadema. Kwa neema za Mungu wa Mbinguni hawataweza; kama kubwa lao na vyombo vyote walishindwa huyu mjinga hataweza!
Aibu kubwa sana
 
Back
Top Bottom