Ee bado ni mchumba wake na ndo aliyeshikilia akili za padiri slaa.Hivi yule Mshumbushi bado yupo na Slaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ee bado ni mchumba wake na ndo aliyeshikilia akili za padiri slaa.Hivi yule Mshumbushi bado yupo na Slaa?
Nahisi ukikiuka kiapo cha upadre unapata laana
Recently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.
Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.
Recently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.
Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.
Unafananishaje kukosoa serikali au chama kinaoingoza serikali na uropokaji kuhusu chama kisichoongoza serikali.Hakuna mtu anayetaka kulinda uozo ila sidhani kama ndicho anachokimaanisha slaa.Slaa ana maslahi binafsi na icho anachokiongea wakati wanaokosoa serikali ya ccm wanakua na maslahi na Taifa.Chadema kujifanya Malaika bhana, yani ninyi mkiikosoa serikali ya CCM tena kwa matusi juu ni democracy lakini wengine wakiwakosoa ninyi wametumwa [emoji848]
TZ ni nchi rahisi sana kuiongoza [emoji2]
Ee bado ni mchumba wake na ndo aliyeshikilia akili za padiri slaa.
Push gang tuliza kijambio hichoChadomo kila kitu mtu katumwa jibuni hoja zake vichaa nyie na ukabila wenu hamna jipy elimu za uwizi wa mitihani
Tako kaliwe mbele chadomoPush gang tuliza kijambio hicho
Jibuni hojaSura ya Slaa imejaa LAANA, mwangalie vizuri. MaCCM sijuhi wamemfanya nini.
Hoja ikitolewa mje na hoja nyie CHADEMA ndio maana kuchukua nchi labda miaka elafu moja ijayo!Laana ya kukana kiapo cha upadri,laana ya kumtelekeza mkewe Rose Kamili, laana ya kumpora Mahimbo mke wake na laana ya kuisaliti Ukawa ilhali na yeye alishiriki uamuzi wa kumkaribisha Lowasa, laana hizi haziwezi kumuacha salama. Ukichanganya na sonona ya kukimbiwa na 'mchumba' wake amekuwa zombie kabisa. Kuna tofauti ndogo sana kati yake na Cyprian Musiba.
Recently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.
Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.
Si kuhisi ndiyo ukweliNahisi ukikiuka kiapo cha upadre unapata laana
Recently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.
Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.