Anayemtuma au kumtumia Wilbroad Slaa kuichafua CHADEMA hatafanikiwa

Anayemtuma au kumtumia Wilbroad Slaa kuichafua CHADEMA hatafanikiwa

Recently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.

Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.


Ni rahisi kujifunika na hoja kuwa Dr Slaa katumwa, kuliko kuangalia kwa makini kinachong'aa ni dhahabu kweli au feki?
 
Recently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.

Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.


Padri mpiga nyeto
 
Tulieni mzodolewe, mlizoea kumuonea Mbatia na Lipumba sasa mjiandae, siri zenu nje nje go dr slaa. Umoja Party mnakipa umaarufu wenyewe kabla hata kusajiliwa.Nimeamini Umoja Party kina vichwa vizuri yaani chama hakijasajiliwa but tayari kimeanza kujambisha people
Siri Gani? Msiropoke tu
 
Recently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.

Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.


Usaliti ukianza huwa hauishi, kasaliti kanisa, kamsaliti mke wake, kasaliti chama na sasa anajisaliti mwenyewe
 
acheni kumchafua mzee wa watu.mzee kahela ka ubalozi kanaisha sasa afanyaje.hata ungekuwa wewe.ni mwendo wa kutafuta chanel.
 
Recently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.

Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.

Tulisema tunataka uhuru wa kutoa mawazo kwa kila mtu mradi havunji sheria, sasa hayo ndiyo mawazo tunayoyapigania hata kwenye katiba mpya tunayoitaka. Wacha mvua inyeshe tujue panapovuja!
 
MaCHADEMA mnaumbuka pole pole. Tuliwaambia MaCHADEMA yanauana na kutekana acha uzinzi uliowajaa.
Majuzi Mange kapost Salum Mwalimu na Matiko mpaka wamezaa.
 
MaCHADEMA mnaumbuka pole pole. Tuliwaambia MaCHADEMA yanauana na kutekana acha uzinzi uliowajaa.
Majuzi Mange kapost Salum Mwalimu na Matiko mpaka wamezaa.
Ni Mpuuzi tu kama wewe atakayeongea ujinga kama huu
 
Back
Top Bottom