jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Wivu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Recently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.
Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.
Tumsamehe.
Tuliza kijambio bintiTako kaliwe mbele chadomo
Ni Mpuuzi tu atayesapoti ujinga wa SlaaNi rahisi kujifunika na hoja kuwa Dr Slaa katumwa, kuliko kuangalia kwa makini kinachong'aa ni dhahabu kweli au feki?
Kaliwe mbele na wahuni uko na wenzio was ubelgiji nenda nawe ukaolewe si unawasapotTuliza kijambio binti
Recently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.
Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.
HakikaNahisi ukikiuka kiapo cha upadre unapata laana
Weka akiba ya maneno.Ni Mpuuzi tu atayesapoti ujinga wa Slaa
Siri Gani? Msiropoke tuTulieni mzodolewe, mlizoea kumuonea Mbatia na Lipumba sasa mjiandae, siri zenu nje nje go dr slaa. Umoja Party mnakipa umaarufu wenyewe kabla hata kusajiliwa.Nimeamini Umoja Party kina vichwa vizuri yaani chama hakijasajiliwa but tayari kimeanza kujambisha people
Tunapigana na nani? Slaa? Slaa ni CHADEMA??Ccm wakiumana wenyewe kwa wenyewe mnashangilia ila nyie chadema mkipigana za uso wenyewe kwa wenyewe mnamuona ni mbaya
Recently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.
Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.
Aagh wapiHivi yule Mshumbushi bado yupo na Slaa?
Unashindwa nn kutuliza kijambio? Au kinawasha?Kaliwe mbele na wahuni uko na wenzio was ubelgiji nenda nawe ukaolewe si unawasapot
Tulisema tunataka uhuru wa kutoa mawazo kwa kila mtu mradi havunji sheria, sasa hayo ndiyo mawazo tunayoyapigania hata kwenye katiba mpya tunayoitaka. Wacha mvua inyeshe tujue panapovuja!Recently Wilbroad Slaa amekua akitoa matamko ya kuihusisha CHADEMA na mambo ya kipuuzi sana. Leo nimeona Tena amenukuliwa akidai kuwa CHADEMA ilimtumia Mlinzi wake kufanya ukatili kwa kiongozi wa CHADEMA.
Swali ambalo Slaa hataki kujibu ni kwamba. Kwanini alikaa kimya baada ya kupata taarifa hizo? Pili, kwa Hali ilivyo, Inawezekana kweli Chadema wafanye kitu kama hicho halafu Polisi wakae kimya.
Ni Mpuuzi tu kama wewe atakayeongea ujinga kama huuMaCHADEMA mnaumbuka pole pole. Tuliwaambia MaCHADEMA yanauana na kutekana acha uzinzi uliowajaa.
Majuzi Mange kapost Salum Mwalimu na Matiko mpaka wamezaa.
Wewe ni mwerevuWewe ni mpumbavu