Anayemuona Sawadogo ni Galasa Simba SC atupishe tunaoujua Mpira na akalime Mbaazi Kijijini Kwao

Anayemuona Sawadogo ni Galasa Simba SC atupishe tunaoujua Mpira na akalime Mbaazi Kijijini Kwao

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Tena kama kuna Mchezaji aliye block Mipira mingi ya Viungo wa Horoya FC huku akiwasumbua na Kuziba Mashimo vyema na akitoa Pasi za uhakika, akijiamini na kupiga Chenga zilizoenda Shule ni Kiungo Mbukinabe Ishmael Sawadogo.

Kinachomgharimu kwa sasa japo taratibu kinaanza Kuondoka ni Uzito unaotokana na Match Fitness pamoja na Game Time kwani alikaa muda mrefu bila Kucheza Ligi / Michuano yoyote ile.

Tena nawaambieni mapema na huu Uzi wangu muutunze kama Ushahidi kuwa huyo Kiungo Fundi Mkabaji Halisi Ishmael Sawadogo akiizoea tu Ligi ya Tanzania huku akirudisha Kiwango chake atasumbua mno na ataimbwa sana na wana Simba SC mpaka na Watani zetu wana Yanga SC kwani anajua na Binafsi namkubali zaidi.
 
Tena kama kuna Mchezaji aliye block Mipira mingi ya Viungo wa Horoya FC huku akiwasumbua na Kuziba Mashimo vyema na akitoa Pasi za uhakika, akijiamini na kupiga Chenga zilizoenda Shule ni Kiungo Mbukinabe Ishmael Sawadogo.

Kinachomgharimu kwa sasa japo taratibu kinaanza Kuondoka ni Uzito unaotokana na Match Fitness pamoja na Game Time kwani alikaa muda mrefu bila Kucheza Ligi / Michuano yoyote ile.

Tena nawaambieni mapema na huu Uzi wangu muutunze kama Ushahidi kuwa huyo Kiungo Fundi Mkabaji Halisi Ishmael Sawadogo akiizoea tu Ligi ya Tanzania huku akirudisha Kiwango chake atasumbua mno na ataimbwa sana na wana Simba SC mpaka na Watani zetu wana Yanga SC kwani anajua na Binafsi namkubali zaidi.
Simba wangeruhusu boli itembee wangekufa wale

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Tena kama kuna Mchezaji aliye block Mipira mingi ya Viungo wa Horoya FC huku akiwasumbua na Kuziba Mashimo vyema na akitoa Pasi za uhakika, akijiamini na kupiga Chenga zilizoenda Shule ni Kiungo Mbukinabe Ishmael Sawadogo.

Kinachomgharimu kwa sasa japo taratibu kinaanza Kuondoka ni Uzito unaotokana na Match Fitness pamoja na Game Time kwani alikaa muda mrefu bila Kucheza Ligi / Michuano yoyote ile.

Tena nawaambieni mapema na huu Uzi wangu muutunze kama Ushahidi kuwa huyo Kiungo Fundi Mkabaji Halisi Ishmael Sawadogo akiizoea tu Ligi ya Tanzania huku akirudisha Kiwango chake atasumbua mno na ataimbwa sana na wana Simba SC mpaka na Watani zetu wana Yanga SC kwani anajua na Binafsi namkubali zaidi.
Tena CHAMA tutamsahau
 
Macho yako yanaona kama Mimi....nikweli
Ila mchezaji mzuri apewi muda Bali mpira
 
Tena kama kuna Mchezaji aliye block Mipira mingi ya Viungo wa Horoya FC huku akiwasumbua na Kuziba Mashimo vyema na akitoa Pasi za uhakika, akijiamini na kupiga Chenga zilizoenda Shule ni Kiungo Mbukinabe Ishmael Sawadogo.

Kinachomgharimu kwa sasa japo taratibu kinaanza Kuondoka ni Uzito unaotokana na Match Fitness pamoja na Game Time kwani alikaa muda mrefu bila Kucheza Ligi / Michuano yoyote ile.

Tena nawaambieni mapema na huu Uzi wangu muutunze kama Ushahidi kuwa huyo Kiungo Fundi Mkabaji Halisi Ishmael Sawadogo akiizoea tu Ligi ya Tanzania huku akirudisha Kiwango chake atasumbua mno na ataimbwa sana na wana Simba SC mpaka na Watani zetu wana Yanga SC kwani anajua na Binafsi namkubali zaidi.
Hamna mchezaji mule,ndie anaifanya Simba iondoke kwenye shape yake yakiuchezaji hatunzi mpira ni mtu wa kukumba kumba watu na kucheza faulo tu.

Angalia alivyotoka Simba ikarudi kwenye shape yake kiuchezaji na kua comfortable na mpira.

Kama mimi ndie kocha anaanzia benchi akisubiri mechi za mikoani kwenye viwanja vibovu akakumbekumbe watu.
 
3CD9DB67-2965-40BC-9D2E-363E216786A1.jpeg
 
Tena kama kuna Mchezaji aliye block Mipira mingi ya Viungo wa Horoya FC huku akiwasumbua na Kuziba Mashimo vyema na akitoa Pasi za uhakika, akijiamini na kupiga Chenga zilizoenda Shule ni Kiungo Mbukinabe Ishmael Sawadogo.

Kinachomgharimu kwa sasa japo taratibu kinaanza Kuondoka ni Uzito unaotokana na Match Fitness pamoja na Game Time kwani alikaa muda mrefu bila Kucheza Ligi / Michuano yoyote ile.

Tena nawaambieni mapema na huu Uzi wangu muutunze kama Ushahidi kuwa huyo Kiungo Fundi Mkabaji Halisi Ishmael Sawadogo akiizoea tu Ligi ya Tanzania huku akirudisha Kiwango chake atasumbua mno na ataimbwa sana na wana Simba SC mpaka na Watani zetu wana Yanga SC kwani anajua na Binafsi namkubali zaidi.
Tuko pamoja mkuu
 
Tena kama kuna Mchezaji aliye block Mipira mingi ya Viungo wa Horoya FC huku akiwasumbua na Kuziba Mashimo vyema na akitoa Pasi za uhakika, akijiamini na kupiga Chenga zilizoenda Shule ni Kiungo Mbukinabe Ishmael Sawadogo.

Kinachomgharimu kwa sasa japo taratibu kinaanza Kuondoka ni Uzito unaotokana na Match Fitness pamoja na Game Time kwani alikaa muda mrefu bila Kucheza Ligi / Michuano yoyote ile.

Tena nawaambieni mapema na huu Uzi wangu muutunze kama Ushahidi kuwa huyo Kiungo Fundi Mkabaji Halisi Ishmael Sawadogo akiizoea tu Ligi ya Tanzania huku akirudisha Kiwango chake atasumbua mno na ataimbwa sana na wana Simba SC mpaka na Watani zetu wana Yanga SC kwani anajua na Binafsi namkubali zaidi.
Yuko wapi Jonas Gerard Mkude

Kama ni majeruhi mbona hatuambiwi atapona lini?

Ama kasimamishwa ama nn

Mbona uwanjani hayupo, benchi hayupo?

NB: sawadogo ni pass maker mzuri sana hana papara
 
Huyu hajui hata anachokitaka,labda ana tatizo la kupoteza kumbukumbu
 
Back
Top Bottom