Anayepinga ukuu wa Urusi Kwa Ukraine akapimwe utimamu wa akili yake

Anayepinga ukuu wa Urusi Kwa Ukraine akapimwe utimamu wa akili yake

Dah wewe jamaa,mbona unajitoa ufahamu namna hii?
Au nyinyi wenzetu pro west mko tofauti kufikiria zaidi kuliko wengine?
Hivi unajua Ukraine ilishamalizwa kijeshi na Urusi miezi ya kwanza TU ya hii smo?
Sasa hivi Urusi inapambana na NATO pamoja na west wote kwa pamoja.
Kwa Nini hamtaki kukubali NATO ndio wanatoa aina zote za silaha,ushauri,mipango,mbinu na Kila aina ya misaada,bila kusahau msaada wa vikwazo kwa Urusi.
NATO wanakaa vikao Kila siku lkn weshindwa,mammluki toka Dunia nzima wako Ukraine lkn wapi.satelite zote za kijeshi za west angani zinaisaidia Ukraine lkn wapi.
 
Urusi iko Juu ya Ukraine Kwa kila kitu.

Kinachojadiliwa ni kwa nini Urusi wameivamia kijeshi Ukraine?

Ukraine inasifiwa kwa uimra wake wa kupambana kwa zaidi ya mwaka mmoja na nchi ilyoizidi kwa Kila kitu.

Kwa ivo Urusi inatumia ukuu wake kuionea Ukraine.
Kwa mujibu wa Mathanzua lee van cliff NiggaPac TUJITEGEMEE Bukyanagandi 1954 Venus Star Upepo wa Pesa na Pro-Russia wengine ni kuwa......

Urusi imeivamia Ukraine kama jibu la nchi hiyo dhidi ya nchi za magharibi zilizokuwa zikijiandaa kutumia ardhi ya Ukraine kushambulia Urusi, hivyo Urusi imefanya pre-emptive strike (japo ushahidi wa hayo madai haupo)

Na pia jeshi la Ukraine lilikwisha sambaratishwa na Urusi kitambo sana ila kwa sasa NATO (nchi 30) ndio zinapambana na Urusi....(ushahidi wa hili pia haupo).
 
pia jeshi la Ukraine lilikwisha sambaratishwa na Urusi kitambo sana ila kwa sasa NATO (nchi 30) ndio zinapambana na Urusi.
Hii hoja huwa inanichekesha sana.

Kama wanaopigana ni NATO wale wanaosema wanalazimishwa na Serikali ya Ukraine kujiunga na jeshi huwa ni watu Wa kutoka wapi??
 
Kwa mujibu wa Mathanzua lee van cliff NiggaPac TUJITEGEMEE Bukyanagandi 1954 Venus Star Upepo wa Pesa na Pro-Russia wengine ni kuwa......

Urusi imeivamia Ukraine kama jibu la nchi hiyo dhidi ya nchi za magharibi zilizokuwa zikijiandaa kutumia ardhi ya Ukraine kushambulia Urusi, hivyo Urusi imefanya pre-emptive strike (japo ushahidi wa hayo madai haupo)

Na pia jeshi la Ukraine lilikwisha sambaratishwa na Urusi kitambo sana ila kwa sasa NATO (nchi 30) ndio zinapambana na Urusi....(ushahidi wa hili pia haupo).
Ila NATo nao wachumba tu mbele ya Mrusi😂
 
Dah wewe jamaa,mbona unajitoa ufahamu namna hii?
Au nyinyi wenzetu pro west mko tofauti kufikiria zaidi kuliko wengine?
Hivi unajua Ukraine ilishamalizwa kijeshi na Urusi miezi ya kwanza TU ya hii smo?
Sasa hivi Urusi inapambana na NATO pamoja na west wote kwa pamoja.
Kwa Nini hamtaki kukubali NATO ndio wanatoa aina zote za silaha,ushauri,mipango,mbinu na Kila aina ya misaada,bila kusahau msaada wa vikwazo kwa Urusi.
NATO wanakaa vikao Kila siku lkn weshindwa,mammluki toka Dunia nzima wako Ukraine lkn wapi.satelite zote za kijeshi za west angani zinaisaidia Ukraine lkn wapi.
NATO imeingia lini vitani?
Kupewa msaada wa silaha kuna shida gani? Si ni sawa na ingenunua tu?
Kwani kanuni ya vita inataka nchi zipigane kwa silaha wanazotengeneza nchini mwao pekee?
Kupewa mipango hilo nalo siyo story, hata watu enzi za ujima walipeana mipango. Hata sasa wanajesha huenda kusoma nchi mbalimbali mambo ya millitary logistics na husaidiana pia.
Kwenye intelligence ndiyo kabisa, lazima ujue kutumia resources ulizo nazo, including marafiki n.k
Kwa kifupi sijaona kitu cha maana hata kimoja katika hivi ulivyoandika.
Kama Ukraine amewwza kusaidiwa au kupata vyote hivyo basi yupo vizuri sana kwenye implimentation...anasaidika.
 
Dah wewe jamaa,mbona unajitoa ufahamu namna hii?
Au nyinyi wenzetu pro west mko tofauti kufikiria zaidi kuliko wengine?
Hivi unajua Ukraine ilishamalizwa kijeshi na Urusi miezi ya kwanza TU ya hii smo?
Sasa hivi Urusi inapambana na NATO pamoja na west wote kwa pamoja.
Kwa Nini hamtaki kukubali NATO ndio wanatoa aina zote za silaha,ushauri,mipango,mbinu na Kila aina ya misaada,bila kusahau msaada wa vikwazo kwa Urusi.
NATO wanakaa vikao Kila siku lkn weshindwa,mammluki toka Dunia nzima wako Ukraine lkn wapi.satelite zote za kijeshi za west angani zinaisaidia Ukraine lkn wapi.
Haya sasa ni mahaba aise!
 
Kila siku mnapakia Silaha kupeleka Ukraine......
Hii ndio unaiba penseli afu unanisaidia kutafuta.
Silaha za Tanzania kwani zinatengenezwa Tanzania??

Kwa Ivo sisi tukipigana Vita itasemwa waliotuuzia silaha ndiyo wanaopigana hiyo vita??

Iran Kila siku inaipa Urusi Kamikaze mbona hamsemi yenyewe ndiyo inayopigana vita?
 
Kwa mujibu wa Mathanzua lee van cliff NiggaPac TUJITEGEMEE Bukyanagandi 1954 Venus Star Upepo wa Pesa na Pro-Russia wengine ni kuwa......

Urusi imeivamia Ukraine kama jibu la nchi hiyo dhidi ya nchi za magharibi zilizokuwa zikijiandaa kutumia ardhi ya Ukraine kushambulia Urusi, hivyo Urusi imefanya pre-emptive strike (japo ushahidi wa hayo madai haupo)

Na pia jeshi la Ukraine lilikwisha sambaratishwa na Urusi kitambo sana ila kwa sasa NATO (nchi 30) ndio zinapambana na Urusi....(ushahidi wa hili pia haupo).
Kichwa maji huyu hapa, unaandika as if hauna ubongo huu sasa ni uboya!!!
 
Back
Top Bottom