Anayepinga ukuu wa Urusi Kwa Ukraine akapimwe utimamu wa akili yake

Anayepinga ukuu wa Urusi Kwa Ukraine akapimwe utimamu wa akili yake

Dah wewe jamaa,mbona unajitoa ufahamu namna hii?
Au nyinyi wenzetu pro west mko tofauti kufikiria zaidi kuliko wengine?
Hivi unajua Ukraine ilishamalizwa kijeshi na Urusi miezi ya kwanza TU ya hii smo?
Sasa hivi Urusi inapambana na NATO pamoja na west wote kwa pamoja.
Kwa Nini hamtaki kukubali NATO ndio wanatoa aina zote za silaha,ushauri,mipango,mbinu na Kila aina ya misaada,bila kusahau msaada wa vikwazo kwa Urusi.
NATO wanakaa vikao Kila siku lkn weshindwa,mammluki toka Dunia nzima wako Ukraine lkn wapi.satelite zote za kijeshi za west angani zinaisaidia Ukraine lkn wapi.
Hii kauli yako inajikanganya, kama Jeshi la Ukraine lilishaisha, hao wanaopewa silaha ni akina nani?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Dah wewe jamaa,mbona unajitoa ufahamu namna hii?
Au nyinyi wenzetu pro west mko tofauti kufikiria zaidi kuliko wengine?
Hivi unajua Ukraine ilishamalizwa kijeshi na Urusi miezi ya kwanza TU ya hii smo?
Sasa hivi Urusi inapambana na NATO pamoja na west wote kwa pamoja.
Kwa Nini hamtaki kukubali NATO ndio wanatoa aina zote za silaha,ushauri,mipango,mbinu na Kila aina ya misaada,bila kusahau msaada wa vikwazo kwa Urusi.
NATO wanakaa vikao Kila siku lkn weshindwa,mammluki toka Dunia nzima wako Ukraine lkn wapi.satelite zote za kijeshi za west angani zinaisaidia Ukraine lkn wapi.
Wanajeshi wangapi wa NATO wameuwawa katika hiyo vita mpaka sasa hivi??
 
NATO imeingia lini vitani?
Kupewa msaada wa silaha kuna shida gani? Si ni sawa na ingenunua tu?
Kwani kanuni ya vita inataka nchi zipigane kwa silaha wanazotengeneza nchini mwao pekee?
Kupewa mipango hilo nalo siyo story, hata watu enzi za ujima walipeana mipango. Hata sasa wanajesha huenda kusoma nchi mbalimbali mambo ya millitary logistics na husaidiana pia.
Kwenye intelligence ndiyo kabisa, lazima ujue kutumia resources ulizo nazo, including marafiki n.k
Kwa kifupi sijaona kitu cha maana hata kimoja katika hivi ulivyoandika.
Kama Ukraine amewwza kusaidiwa au kupata vyote hivyo basi yupo vizuri sana kwenye implimentation...anasaidika.

IMG_1621.jpg

Pingana na General wako wewe mnato wa kibaigwa.
 
Kwahiyo ndio unajifanya kabisa huoni hizo dola bilioni karibu 100 za kimarekani magari ya kivita , ndege za kivita , na zana nyingine za kijeshi pamoja na mamluki wa NATO wanaomchangia urusi? Kweli mtu ukipenda kitu unakuwa kipofu pole sana.
 
NATO imeingia lini vitani?
Kupewa msaada wa silaha kuna shida gani? Si ni sawa na ingenunua tu?
Kwani kanuni ya vita inataka nchi zipigane kwa silaha wanazotengeneza nchini mwao pekee?
Kupewa mipango hilo nalo siyo story, hata watu enzi za ujima walipeana mipango. Hata sasa wanajesha huenda kusoma nchi mbalimbali mambo ya millitary logistics na husaidiana pia.
Kwenye intelligence ndiyo kabisa, lazima ujue kutumia resources ulizo nazo, including marafiki n.k
Kwa kifupi sijaona kitu cha maana hata kimoja katika hivi ulivyoandika.
Kama Ukraine amewwza kusaidiwa au kupata vyote hivyo basi yupo vizuri sana kwenye implimentation...anasaidika.
Hivi mbona hamtumii akili?hawa ni baadhi ya wanajeshi wa NATO.
JamiiForums1192469401.jpg
 
Urusi iko Juu ya Ukraine Kwa kila kitu.

Kinachojadiliwa ni kwa nini Urusi wameivamia kijeshi Ukraine?

Ukraine inasifiwa kwa uimra wake wa kupambana kwa zaidi ya mwaka mmoja na nchi ilyoizidi kwa Kila kitu.

Kwa ivo Urusi inatumia ukuu wake kuionea Ukraine.
Ni mjinga tu asiyeona ukuu wa urusi.ukraine wameweza kupunguza kasi ya urusi kwa sababu ya msaada ya NATO.msaada wa vifaa na wanajeshi wanaojiita volunteers lakini wameshindwa kuitoa urusi Ukraine
 

Attachments

  • Screenshot_20230829-194828.png
    Screenshot_20230829-194828.png
    39.4 KB · Views: 2
... Kwa Nini hamtaki kukubali NATO ndio wanatoa aina zote za silaha,ushauri,mipango,mbinu na Kila aina ya misaada,bila kusahau msaada wa vikwazo kwa Urusi.
Ukiingiza timu vitani hutakiwi kumchagulia adui yako namna ya kupigana.
 
Ni mjinga tu asiyeamini Ukraine kuna wanajeshi wa NATO kila siku wanauawa kwa kupigwa kwenye mabankers na frontline.narudia ni mjinga tu na kuna evidence ya kupeleka maiti Ujerumani na Marekani.
Bora kuwa mjinga kuliko kuwa na akili za kuamini usemayo
 
Ni mjinga tu asiyeamini Ukraine kuna wanajeshi wa NATO kila siku wanauawa kwa kupigwa kwenye mabankers na frontline.narudia ni mjinga tu na kuna evidence ya kupeleka maiti Ujerumani na Marekani.
Hao sio askari wa NATO, ila ni raia wa kujitolea tu kutoka ulaya magharibi na Marekani walioamua kuitikia wito wa Zelensky kuja kutoa msaada kwa Ukraine.
 
Urusi iko Juu ya Ukraine Kwa kila kitu.

Kinachojadiliwa ni kwa nini Urusi wameivamia kijeshi Ukraine?

Ukraine inasifiwa kwa uimra wake wa kupambana kwa zaidi ya mwaka mmoja na nchi ilyoizidi kwa Kila kitu.

Kwa ivo Urusi inatumia ukuu wake kuionea Ukraine.
Ukraine mpaka achakae..."itikia apigwe"
IMG_20230824_030837.jpg
 
Back
Top Bottom