green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Ukropigs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukropigs
Unauliza wanamgambo wa NATO wameingia lini vitani angalia hiyo picha alafu ukakate gogoNATO imeingia lini vitani?
Kupewa msaada wa silaha kuna shida gani? Si ni sawa na ingenunua tu?
Kwani kanuni ya vita inataka nchi zipigane kwa silaha wanazotengeneza nchini mwao pekee?
Kupewa mipango hilo nalo siyo story, hata watu enzi za ujima walipeana mipango. Hata sasa wanajesha huenda kusoma nchi mbalimbali mambo ya millitary logistics na husaidiana pia.
Kwenye intelligence ndiyo kabisa, lazima ujue kutumia resources ulizo nazo, including marafiki n.k
Kwa kifupi sijaona kitu cha maana hata kimoja katika hivi ulivyoandika.
Kama Ukraine amewwza kusaidiwa au kupata vyote hivyo basi yupo vizuri sana kwenye implimentation...anasaidika.
Kauli hiyo ilitoka kwa mama Kaundime baada kuliwa papa na Wanamgambo ChechenRussia ukimuondolea Nukes hawezi kitu
Isitoshe hata Russians wanasaidiwa. Iran imetoa drones, North Korea wanatoa makombora na wanajeshi,mchina anasaidia ukwepaji vikwazo nk. Kila mmoja anapata msaada flaniNATO imeingia lini vitani?
Kupewa msaada wa silaha kuna shida gani? Si ni sawa na ingenunua tu?
Kwani kanuni ya vita inataka nchi zipigane kwa silaha wanazotengeneza nchini mwao pekee?
Kupewa mipango hilo nalo siyo story, hata watu enzi za ujima walipeana mipango. Hata sasa wanajesha huenda kusoma nchi mbalimbali mambo ya millitary logistics na husaidiana pia.
Kwenye intelligence ndiyo kabisa, lazima ujue kutumia resources ulizo nazo, including marafiki n.k
Kwa kifupi sijaona kitu cha maana hata kimoja katika hivi ulivyoandika.
Kama Ukraine amewwza kusaidiwa au kupata vyote hivyo basi yupo vizuri sana kwenye implimentation...anasaidika.
TKichwa maji huyu hapa, unaandika as if hauna ubongo huu sasa ni uboya!!!
Mamluki and some NATO troops waliovalia sare za Ukrainian military - hiyo sio siri tena na Urusi inawapa kipigo cha mbwa mwizi pamoja na silaha za NATO uchwala kutuiwa kiberiti mchana kweupe Dunia ikishuhudia kwenye luninga na baada ya USA kushuhudia Lancent drones. zikishukia vifaru vya Uingereza na Ujerumani kama mweweu nat vikalipuliwa kirahisi, USA hana hamu tena ya kupeleka viyfaru vyake vya Abram vikitiwa kiberiti ataona aibu sana maana wanunuzi wa silaha za Merikani hawatakuwa na imani tena na majigambo ma Gringo, Dunia ilishaona kwamba kumbe silaha zao nyingi ni paper tigers tu ambavyo havi fuhi dafu mbele ya silaha za Urusi, Uchina, Iran, Korea ya Kusini nk - USA zamani sio siku hizi, na hii vita vya Ukraine ndio vimemtia aibu zaidi, no one takes them seriously any more hasa baada ya kushindwa vibaya katika the so called massive counter offensive ambayo majenerali wa USA na some NATO troops ndio walihusika sana na ku organise offensive nauratibu wake wote waka jiamini sana, lakini walipo fyekwa 2,400 na Urusi within 24 hours wakaona Mrusi ni mfupa uliyo shinda fisi - tatizo lao hawasomi historia za nyuma linapokuja suala la Urusi kulinda na kukubali kufa kwa mamillioni kuhakikisha taifa lao halikaliwi au kutawaliwa na wageni - nchi za magharibi mpaka sasa hilo hawajajifunza - but soon the west specifically Biden and tlike mind will learn their lesson the hard way - Russia is not for turning.Hii kauli yako inajikanganya, kama Jeshi la Ukraine lilishaisha, hao wanaopewa silaha ni akina nani?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo hivyo vikwazo Urusi kawekewa na Ukraine sio?Isitoshe hata Russians wanasaidiwa. Iran imetoa drones, North Korea wanatoa makombora na wanajeshi,mchina anasaidia ukwepaji vikwazo nk. Kila mmoja anapata msaada flani
Unaijua nchi ya kwanza kutumia silaha ya nyukilia hapa duniani?Russia ukimuondolea Nukes hawezi kitu
Kaa ukijua kuwa kichapo kinaendelea na hakita ishia hapo Ukraine ilishakwisha kilichobaki ni uwanja wa vita unaotumiwa na West dhidi ya Urusi na Kwa taarifa Yako Urusi hajaanza kupigana Leo na hao west haya mambo yalianza zaman sana, Mwaka 1960 Dwight Eisenhower aliyekuwa Rais wa USA almanusura azabuliwe makofi na aliyekuwa Rais wa Urusi Nikita Khrushchev huko Paris ufaransa baada ya Urusi kumkamata ruban Francis Garry Powers aliyedunguliwa na Warusi huko Vladivostok akiwa na ndege ya kipelelezi U2 Spy plane, Urusi anapigana na ulaya pamoja marekani wanaôtumia ardhi ya Ukraine hata ukikataa uhalisia utabaki hivyo na hili siyo suala la imani ni uhalisia ktk Dunia tunayoishiNATO imeingia lini vitani?
Kupewa msaada wa silaha kuna shida gani? Si ni sawa na ingenunua tu?
Kwani kanuni ya vita inataka nchi zipigane kwa silaha wanazotengeneza nchini mwao pekee?
Kupewa mipango hilo nalo siyo story, hata watu enzi za ujima walipeana mipango. Hata sasa wanajesha huenda kusoma nchi mbalimbali mambo ya millitary logistics na husaidiana pia.
Kwenye intelligence ndiyo kabisa, lazima ujue kutumia resources ulizo nazo, including marafiki n.k
Kwa kifupi sijaona kitu cha maana hata kimoja katika hivi ulivyoandika.
Kama Ukraine amewwza kusaidiwa au kupata vyote hivyo basi yupo vizuri sana kwenye implimentation...anasaidika.
'Upo sahihi kabisa'.Kaa ukijua kuwa kichapo kinaendelea na hakita ishia hapo Ukraine ilishakwisha kilichobaki ni uwanja wa vita unaotumiwa na West dhidi ya Urusi na Kwa taarifa Yako Urusi hajaanza kupigana Leo na hao west haya mambo yalianza zaman sana, Mwaka 1960 Dwight Eisenhower aliyekuwa Rais wa USA almanusura azabuliwe makofi na aliyekuwa Rais wa Urusi Nikita Khrushchev huko Paris ufaransa baada ya Urusi kumkamata ruban Francis Garry Powers aliyedunguliwa na Warusi huko Vladivostok akiwa na ndege ya kipelelezi U2 Spy plane, Urusi anapigana na ulaya pamoja marekani wanaôtumia ardhi ya Ukraine hata ukikataa uhalisia utabaki hivyo na hili siyo suala la imani ni uhalisia ktk Dunia tunayoishi
Kwani umesikia Urusi anamchagulia Ukraine namna ya kupigana?Ukiingiza timu vitani hutakiwi kumchagulia adui yako namna ya kupigana.
Sasa kama Urusi inapambana na NATO, lile pigo la kihistoria tulilotishiwa mbona hatulioni?Dah wewe jamaa,mbona unajitoa ufahamu namna hii?
Au nyinyi wenzetu pro west mko tofauti kufikiria zaidi kuliko wengine?
Hivi unajua Ukraine ilishamalizwa kijeshi na Urusi miezi ya kwanza TU ya hii smo?
Sasa hivi Urusi inapambana na NATO pamoja na west wote kwa pamoja.
Kwa Nini hamtaki kukubali NATO ndio wanatoa aina zote za silaha,ushauri,mipango,mbinu na Kila aina ya misaada,bila kusahau msaada wa vikwazo kwa Urusi.
NATO wanakaa vikao Kila siku lkn weshindwa,mammluki toka Dunia nzima wako Ukraine lkn wapi.satelite zote za kijeshi za west angani zinaisaidia Ukraine lkn wapi.
Tukubaliane na kauli yake ambayo ipo supported na ushahidiKwa mujibu wa Mathanzua lee van cliff NiggaPac TUJITEGEMEE Bukyanagandi 1954 Venus Star Upepo wa Pesa na Pro-Russia wengine ni kuwa......
Urusi imeivamia Ukraine kama jibu la nchi hiyo dhidi ya nchi za magharibi zilizokuwa zikijiandaa kutumia ardhi ya Ukraine kushambulia Urusi, hivyo Urusi imefanya pre-emptive strike (japo ushahidi wa hayo madai haupo)
Na pia jeshi la Ukraine lilikwisha sambaratishwa na Urusi kitambo sana ila kwa sasa NATO (nchi 30) ndio zinapambana na Urusi....(ushahidi wa hili pia haupo).
Na kama wanaopigana ni NATO, je ile kauli ya kusema nchi yeyote itayojaribu kuingilia hii vita itapata pigo la kihistoria iko wapi?Hii hoja huwa inanichekesha sana.
Kama wanaopigana ni NATO wale wanaosema wanalazimishwa na Serikali ya Ukraine kujiunga na jeshi huwa ni watu Wa kutoka wapi??
Hivi kwenye Vita ya Kagera ni Urusi ndio aliotusaidia Silaha?Kila siku mnapakia Silaha kupeleka Ukraine......
Hii ndio unaiba penseli afu unanisaidia kutafuta.
akiwemo Yevgeny PrigozhinUrusi anapiga mbwa na alieshika kamba ya mbwa.
Sijui kama ni bure au lah, almost silaha zetu zote by that time zilikuwa ni Soviet made.Hivi kwenye Vita ya Kagera ni Urusi ndio aliotusaidia Silaha?