Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kwa mujibu wa Mathanzua lee van cliff NiggaPac TUJITEGEMEE Bukyanagandi 1954 Venus Star Upepo wa Pesa na Pro-Russia wengine ni kuwa......Urusi iko Juu ya Ukraine Kwa kila kitu.
Kinachojadiliwa ni kwa nini Urusi wameivamia kijeshi Ukraine?
Ukraine inasifiwa kwa uimra wake wa kupambana kwa zaidi ya mwaka mmoja na nchi ilyoizidi kwa Kila kitu.
Kwa ivo Urusi inatumia ukuu wake kuionea Ukraine.
Hii hoja huwa inanichekesha sana.pia jeshi la Ukraine lilikwisha sambaratishwa na Urusi kitambo sana ila kwa sasa NATO (nchi 30) ndio zinapambana na Urusi.
Ila NATo nao wachumba tu mbele ya Mrusi😂Kwa mujibu wa Mathanzua lee van cliff NiggaPac TUJITEGEMEE Bukyanagandi 1954 Venus Star Upepo wa Pesa na Pro-Russia wengine ni kuwa......
Urusi imeivamia Ukraine kama jibu la nchi hiyo dhidi ya nchi za magharibi zilizokuwa zikijiandaa kutumia ardhi ya Ukraine kushambulia Urusi, hivyo Urusi imefanya pre-emptive strike (japo ushahidi wa hayo madai haupo)
Na pia jeshi la Ukraine lilikwisha sambaratishwa na Urusi kitambo sana ila kwa sasa NATO (nchi 30) ndio zinapambana na Urusi....(ushahidi wa hili pia haupo).
NATO imeingia lini vitani?Dah wewe jamaa,mbona unajitoa ufahamu namna hii?
Au nyinyi wenzetu pro west mko tofauti kufikiria zaidi kuliko wengine?
Hivi unajua Ukraine ilishamalizwa kijeshi na Urusi miezi ya kwanza TU ya hii smo?
Sasa hivi Urusi inapambana na NATO pamoja na west wote kwa pamoja.
Kwa Nini hamtaki kukubali NATO ndio wanatoa aina zote za silaha,ushauri,mipango,mbinu na Kila aina ya misaada,bila kusahau msaada wa vikwazo kwa Urusi.
NATO wanakaa vikao Kila siku lkn weshindwa,mammluki toka Dunia nzima wako Ukraine lkn wapi.satelite zote za kijeshi za west angani zinaisaidia Ukraine lkn wapi.
Haya sasa ni mahaba aise!Dah wewe jamaa,mbona unajitoa ufahamu namna hii?
Au nyinyi wenzetu pro west mko tofauti kufikiria zaidi kuliko wengine?
Hivi unajua Ukraine ilishamalizwa kijeshi na Urusi miezi ya kwanza TU ya hii smo?
Sasa hivi Urusi inapambana na NATO pamoja na west wote kwa pamoja.
Kwa Nini hamtaki kukubali NATO ndio wanatoa aina zote za silaha,ushauri,mipango,mbinu na Kila aina ya misaada,bila kusahau msaada wa vikwazo kwa Urusi.
NATO wanakaa vikao Kila siku lkn weshindwa,mammluki toka Dunia nzima wako Ukraine lkn wapi.satelite zote za kijeshi za west angani zinaisaidia Ukraine lkn wapi.
Silaha za Tanzania kwani zinatengenezwa Tanzania??Kila siku mnapakia Silaha kupeleka Ukraine......
Hii ndio unaiba penseli afu unanisaidia kutafuta.
Kichwa maji huyu hapa, unaandika as if hauna ubongo huu sasa ni uboya!!!Kwa mujibu wa Mathanzua lee van cliff NiggaPac TUJITEGEMEE Bukyanagandi 1954 Venus Star Upepo wa Pesa na Pro-Russia wengine ni kuwa......
Urusi imeivamia Ukraine kama jibu la nchi hiyo dhidi ya nchi za magharibi zilizokuwa zikijiandaa kutumia ardhi ya Ukraine kushambulia Urusi, hivyo Urusi imefanya pre-emptive strike (japo ushahidi wa hayo madai haupo)
Na pia jeshi la Ukraine lilikwisha sambaratishwa na Urusi kitambo sana ila kwa sasa NATO (nchi 30) ndio zinapambana na Urusi....(ushahidi wa hili pia haupo).
Ukraine kalipia Tsh ngapi kupata silaha?Silaha za Tanzania kwani zinatengenezwa Tanzania??
Kwa Ivo sisi tukipigana Vita itasemwa waliotuuzia silaha ndiyo wanaopigana hiyo vita??
Iran Kila siku inaipa Urusi Kamikaze mbona hamsemi yenyewe ndiyo inayopigana vita?
Sijui!!Ukraine kalipia Tsh ngapi kupata silaha?
Kwani unaongea vitu usivyovijua Ndugu Allen?Sijui!!
Sijui!!Ukraine kalipia Tsh ngapi kupata silaha?
Umeuliza jambo linaloendelea. Manunuzi ya silaha huwa ni SiriKwani unaongea vitu usivyovijua Ndugu Allen?
Ni siri na kila siku wanasema Aid package billion kadhaa?Umeuliza jambo linaloendelea manunuzi ya silaha huwa ni Siri
Kama sijui silaha za nchi yangu zimenunuliwa Kwa shilingi ngapi, ndiyo nijue za Ukraine??
Umuondolee kwanini?Russia ukimuondolea Nukes hawezi kitu
Yap!!Ni siri na kila siku wanasema Aid package billion kadhaa?
Sio siri, ila huwezi kusema ukweli kwani unapingana na nadharia yako.