Anayeshtakiwa kumuua Mkewe adai haogopi Kunyongwa

Anayeshtakiwa kumuua Mkewe adai haogopi Kunyongwa

Sasa si umeona kumbe hadi majirani wanafahamu kila kitu.

Jamaa amekuwa honestly ameamua kuipatia uhuru nafsi yake kwa kusema ukweli ambao ulikuwa kwenye kifua chake.

Na mahakama inatambua kuua bila kukusudia ni bahati mbaya hivyo sidhani kama kutakuwa na kifungo kikubwa.
Unamchoma mtu afu unasema ulimuua hukukusudia?
 
Pili kichwa Cha mkewe kiliwai sana kuungua maana alikuwa anakigeuza. Tatu amedai Tako lilikuwa na mafuta mengi. Nne sehemu za Siri za Naomi zlikuwa na mafuta. Tano matiti pia yalikuwa na mafuta.

Sehemu zote zilizokuwa na mafuta zilichelewa kuungua ila zilisaidia moto kukolea.

Duh!

Jamaa anasimulia kama serial killer vile, kumbe ndio mauaji yake ya kwanza...
 
Kuna umuhimu wa sheria za ndoa, hasa kipengele cha kutalikiana kibadilishwe. Wanawake wengi wameuliwa sababu ya ndoa.

Ndoa za siku hizi nazo pasua kichwa. Fikiria hawa wanandoa ni vijana. Walikuwa na maisha yao tayari wanajimudu. Sijui mdudu gani aliwaingia.

Ndoa nyingi pasua kichwa sababu hakuna pair bonding. Mwanaume na mwanamke aliyepitia mahusiano mengine tofauti tofauti ni ngumu sana kuwa na ndoa imara. Maana ameshazoea kuingia na kutoka kwenye mahusiano. Kuachana kwake ni swala dogo

Ndoa zenye nafasi ya kudumu ni zile zinazofungwa me na ke wakiwa bado vijana na wana ubikra wao
 
Naomi alishapata jamaa mwengine aliyemzuzua, mtuhumiwa alikuwa anajua na walishajaribu kusuruhisha lakini Naomi alikuwa kichwa bure akawa anadai talaka ndoa ivunjwe wagawane pasupasu ili atimkie kwa mshkaji mpya.
Kama mashuhuda wanavyosema, ilifikia kipindi Naomi analetwa na mshkaji mpaka nyumbani Gezaulole na mshtakiwa anapata habari lakini alikuwa kimya baada ya suluhu zote kwa mshenga mpaka wazazi kugonga mwamba. Wakawa wanaishi ili mradi tu siku zisonge watoto waende shule,Visa vilikuwa vingi kwa upande wa Naomi juu ya mumewe. Hakika mtuhumiwa alimvumilia sana mkewe...
Yote juu ya yote ndio hayo tuliyosikia yaliyotokea na mtuhumiwa amekiri wazi na kuelezea jinsi ilivyokuwa siku hiyo...
Yani haiwezekani kila ndoa inayovunjika chanzo ni mwanamke, hata kikitokea kifo cha mmoja wao haijalishi ni mke au mume chanzo huwa ni mwanamke tu lazima kuna tatizo mahali, wanaume ni either mnajiona innocent sana au mnahisi makosa yenu ni madogo sana hivyo yanastahili kuvumilika tu
 
Luwonga anadaiwa kumuua mke wake Naomi kisha kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa na baadaye alichukua majivu ya mwili wa marehemu na kwenda kuyafukia shambani kwake Mkuranga mkoani Pwani.
Noma,

404: Page Not Found
 
Yani haiwezekani kila ndoa inayovunjika chanzo ni mwanamke, hata kikitokea kifo cha mmoja wao haijalishi ni mke au mume chanzo huwa ni mwanamke tu lazima kuna tatizo mahali, wanaume ni either mnajiona innocent sana au mnahisi makosa yenu ni madogo sana hivyo yanastahili kuvumilika tu
Mimi siongelei cases za wanaume bali naongelea case na watu ninaowafahamu. Sijawataja watu wengine kwenye comments zangu zaidi ya marehemu Naomi na mumewe tu. Sasa hizo zingine kama vyanzo ni wanawake au wanaume mimi sizijui
 
Pana mtumishi mmoja wa Mungu akiwa mganga zamani alitoa ushuhuda jinsi kwanini wanandoa wanauwana,
Kama wanamuhitaji mmoja wao Huwa wanatuma mapepo mawili moja kwa mme mwingine kwa mke then kinatafutwa chanzo Cha maudhi kupitia kauli mnaanza kujibizana majibizano upambano moto kwa msaada wa Yale majini mawili yatapelekea mtavurugana haswa mtaanza kupigana ugomvi huo ndio upelekea kifo Cha mlengwa either kwa hasira utamshuti risasi,kumchoma kisu,kumbamiza kichwa,kuangukia kwenye meza ya kioo nk then utabeba hospital ndio kwa heri hio then Yale majini mawili yanaondoka ndipo ufahamu wako unarudi unaanza kuhisi hatia maswali kibao kwann nilikosa uvumilivu.
Watu wajifunze sana somo la emotional intelligence yaani jinsi ya kuikabili migogoro ya ndoa.
Inisaidia usiingie jela kisa mapenzi
wewe na huyo mganga wako wote hamna akili
 
Sasa analazimisha?
Ajue kila kosa lina chembe chembe zake.Kakusudia ndo maana aliplan kuficha
Seems like you have never been in a corner sweetheart.😊 You can do the craziest thing you have never imagined before alafu baadae ukajicheka mwenyewe😂😂
 
Naomi alishapata jamaa mwengine aliyemzuzua, mtuhumiwa alikuwa anajua na walishajaribu kusuruhisha lakini Naomi alikuwa kichwa bure akawa anadai talaka ndoa ivunjwe wagawane pasupasu ili atimkie kwa mshkaji mpya.
Kama mashuhuda wanavyosema, ilifikia kipindi Naomi analetwa na mshkaji mpaka nyumbani Gezaulole na mshtakiwa anapata habari lakini alikuwa kimya baada ya suluhu zote kwa mshenga mpaka wazazi kugonga mwamba. Wakawa wanaishi ili mradi tu siku zisonge watoto waende shule,Visa vilikuwa vingi kwa upande wa Naomi juu ya mumewe. Hakika mtuhumiwa alimvumilia sana mkewe...
Yote juu ya yote ndio hayo tuliyosikia yaliyotokea na mtuhumiwa amekiri wazi na kuelezea jinsi ilivyokuwa siku hiyo...
Kimya hicho anaagiza magunia ya mkaa kwenye malori ya mafuta, anamlia gepu tu siku zisogee amfanye kitu hajawahi kufanywa hivi km itakua alisikia mpaka clip km ya yule dada yake na fulani akijisifu kutatuliwa marinda alafu voice note imevuja

404: Page Not Found
 
Sasa si umeona kumbe hadi majirani wanafahamu kila kitu.

Jamaa amekuwa honestly ameamua kuipatia uhuru nafsi yake kwa kusema ukweli ambao ulikuwa kwenye kifua chake.

Na mahakama inatambua kuua bila kukusudia ni bahati mbaya hivyo sidhani kama kutakuwa na kifungo kikubwa.
We fikiria mpaka jamaa anasema kuwa atataoa ushahidi au atawapa mashahidi ushahidi kuonesha kuwa hakuuwa kwa kukusudia. The guy has been so honest on his case
 
Wanaonyongwa upata nafasi kubwa sana ya kuingia mbinguni kwa sababu wanapata mda mwingi sana wa kufanya toba na kutokuwa na nafasi ya kuingiza dhambi nyingine mpya mawazoni mwao sababu ya kukaa upweke peke Yao,wanakuw tayari washakufa kiroho yaani kukosa tumaini.
Huko mbinguni una uhakika kupo?[emoji848]
 
Back
Top Bottom