Anayeshtakiwa kumuua Mkewe adai haogopi Kunyongwa

Unamchoma mtu afu unasema ulimuua hukukusudia?
 

Duh!

Jamaa anasimulia kama serial killer vile, kumbe ndio mauaji yake ya kwanza...
 

Ndoa nyingi pasua kichwa sababu hakuna pair bonding. Mwanaume na mwanamke aliyepitia mahusiano mengine tofauti tofauti ni ngumu sana kuwa na ndoa imara. Maana ameshazoea kuingia na kutoka kwenye mahusiano. Kuachana kwake ni swala dogo

Ndoa zenye nafasi ya kudumu ni zile zinazofungwa me na ke wakiwa bado vijana na wana ubikra wao
 
Yani haiwezekani kila ndoa inayovunjika chanzo ni mwanamke, hata kikitokea kifo cha mmoja wao haijalishi ni mke au mume chanzo huwa ni mwanamke tu lazima kuna tatizo mahali, wanaume ni either mnajiona innocent sana au mnahisi makosa yenu ni madogo sana hivyo yanastahili kuvumilika tu
 
Luwonga anadaiwa kumuua mke wake Naomi kisha kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa na baadaye alichukua majivu ya mwili wa marehemu na kwenda kuyafukia shambani kwake Mkuranga mkoani Pwani.
Noma,

404: Page Not Found
 
Mimi siongelei cases za wanaume bali naongelea case na watu ninaowafahamu. Sijawataja watu wengine kwenye comments zangu zaidi ya marehemu Naomi na mumewe tu. Sasa hizo zingine kama vyanzo ni wanawake au wanaume mimi sizijui
 
wewe na huyo mganga wako wote hamna akili
 
Sasa analazimisha?
Ajue kila kosa lina chembe chembe zake.Kakusudia ndo maana aliplan kuficha
Seems like you have never been in a corner sweetheart.😊 You can do the craziest thing you have never imagined before alafu baadae ukajicheka mwenyewe😂😂
 
Kimya hicho anaagiza magunia ya mkaa kwenye malori ya mafuta, anamlia gepu tu siku zisogee amfanye kitu hajawahi kufanywa hivi km itakua alisikia mpaka clip km ya yule dada yake na fulani akijisifu kutatuliwa marinda alafu voice note imevuja

404: Page Not Found
 
We fikiria mpaka jamaa anasema kuwa atataoa ushahidi au atawapa mashahidi ushahidi kuonesha kuwa hakuuwa kwa kukusudia. The guy has been so honest on his case
 
Huko mbinguni una uhakika kupo?[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…