Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wasabato hawali kambale! Sijui wanaogopa zile ndevu?! Au sio kambale?Na kambale..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasabato hawali kambale! Sijui wanaogopa zile ndevu?! Au sio kambale?Na kambale..
Mmemuweka nani? Njegere?Tushamtoa Maharage, umeme sahivi 24/7/365
Tuna Meja Jenerali sahivi.Mmemuweka nani? Njegere?
Nashauri uwaandikie email managementINSHORT nikawapa vipande vyao, Anayesupply samaki popote alipo akae akijua anafanyiwa FITINA!!!!!
Samaki gani? Samaki wapo wengi sana, na utamu unatofautiana. Achilia mbali mapishi. Hata kuku mbaya anaweza kuwa mtamu kulingana na mapishi. Ila msinunue mayai ya Shoppers Plaza.Habari Wanajf!
Leo Nikasema nijitoe out nikaenda Zangu Msasani kwenye hotel ya Golden.... Nilipofika kama kawaida akaja Muhudumu akanipa Menu ya vinywaji nikachagua, Nikapewa menu ya chakula nikawa naperuzi ipi nichukue...
Yaweza kuwa ni kweli ila leo ilikuwa ni bahati tu umekutana na mzuri?Wewe ndo unasupply au?😂😂
Hata kama ni kweli! Sio sawa kumchagulia mtu ikiwa wewe ni muhudumu, muache mteja achague nini anataka akicomplain kosa sio la muhudumu ni la Hotel.Yaweza kuwa ni kweli ila leo ilikuwa ni bahati tu umekutana na mzuri?
Atakua hajalipwa stahiki zake
Waiter kawa director. Bora ulikomaa na samaki.Grilled fish!! Nililetewa sato yeye akanidirect nichukue kuku
Umajuaje sijasoma? Sasa nakuhakikishia kama ni kweli hao samaki siyo wazuri basi huyo mhudumu ndiyo anajua na amesoma customer service kuliko wewe.Hata kama ni kweli! Sio sawa kumchagulia mtu ikiwa wewe ni muhudumu, muache mteja achague nini anataka akicomplain kosa sio la muhudumu ni la Hotel.
Kosa sio lako tatizo ujasoma CUSTOMER SERVICE.
Wataluona mnaa aisee si mchezo.Habari Wanajf!
Leo Nikasema nijitoe out nikaenda Zangu Msasani kwenye hotel ya Golden.... Nilipofika kama kawaida akaja Muhudumu akanipa Menu ya vinywaji nikachagua, Nikapewa menu ya chakula nikawa naperuzi ipi nichukue...
Madam kiukweli pale nina ka mradi ka kuku wangu lazima niweke maneno ya kumvutia mteja, kwanza kuku wangu ni fresh, nyama imeshiba kwanza kuku kuku, kiuno kiuno paja paja🤣🤦 (natania tu)Grilled fish!! Nililetewa sato yeye akanidirect nichukue kuku
Sibishi ila nakupa challenge tu. Kuna uwezekano pia dada mhudumu analipwa kamisheni kwa kila kuku anayeuza.Sibishani na mtu nisiyemjua. Muhimu nimewasilisha jambo lililonitokea FULLSTOP.
Mimi sishangai kwasababu kwenye utafutaji wa ridhiki kuna fitina nyingi sana.MOyo umeniuma sanaa! Nikaimagine vipi anayesupply samaki angekua mzazi wangu au mimi