Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Hata kama ila kumbuka Mungu ni fundi kwenye suala la ridhiki.Sibishi ila nakupa challenge tu. Kuna uwezekano pia dada mhudumu analipwa kamisheni kwa kila kuku anayeuza.
Kumfanyia fitina mwenzako kwenye suala la ridhiki usifikiri maisha yako yatakuwa mazuri sana ni suala muda tu