Anayesupply samaki popote Golden, akae akijua anafanyiwa fitina

Fitna za biashara kila pahala watu wana roho za umaskini sana.
 
Ila hotel nyingi samaki wanakaa sana kwenye freeze huenda hata miezi 3 na huenda muhudumu ana-experience na wateja waliolalamika..
Mimi naona huenda alikupa tahadhari Tu usiwake baadaye Ila haikutokea
 
Siku nyingine ukienda naomba unipe mwaliko
 
Nashukuru sana Kwa moyo wako ila kikubwa hiyo hoteli nimeiweka kwenye ratiba lazima nikale huyo samaki ili kuonesha kuwa nasimama na wewe
 
Mjeda upo?
 
Sema na wewe n Mbishi shemji ana kazi.
Yani niambiwe Samaki wabaya alafu niwakomalie.
Leo ubishi umekusaidia ila kuna siku utakusaliti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…