Anayetambulishwa saa saba leo ni Peter Muduhwa wa Zimbabwe

Anayetambulishwa saa saba leo ni Peter Muduhwa wa Zimbabwe

Kwa usajili huu, kuna kila dalili mechi za makundi zitakapo anza, hatutayategemea tena yale MAPAKA yetu meusi uwanjani, au kuwasingizia wapinzani wetu kuwa na corona, ili kutuletea ushindi.

Hongereni sana viongozi wetu kwa kuliona hilo!!!
Poleni naona mnanumia kweli
 
Ila mechi dhidi ya utopolo tutatumia paka ili kipigo kiongezeke kutoka kile cha 4G cha msimu uliopita kiwe 6G.
Hata kanuni za usajili za VPL sijui kama unazifahamu. Usajili wa VPL unaendelea.
 
Huyo hapo mwamba
FB_IMG_16116580622067600.jpg
 
Nyani fc bhana, nyie mchezaji anayejua kukimbia tu basi ni mzuri, Yule Kisinda ni forward lakini kwenye mechi 18 ana goli mbili. Afu bado mnamwimba.
Yaaani wanamsifia huyu jamaa balaa ila ukiangalia uwanjani hana impact kabusa zaidi ya mimbio tuu
 
Maajabu haya yako Tanzania tu team inayocheza round ya kwanza sio inacheza round ya pili pamoja na kocha.
 
Maajabu haya yako Tanzania tu team inayocheza round ya kwanza sio inacheza round ya pili pamoja na kocha.
Shida ya utopolo ni wavivu wa kufuatilia habari. Nyie mkishawafuatilia Utopolo wenzenu akina Kitenge, mkule, Dauda nk basi.
CAF wameruhusu Timu za Klabu zinazoshiriki mashindano ya CAF waongeze idadi ya Wachezaji. Hii yote ni kwa sababu za athari za covid- 19.
Simba imeongeza Wachezaji hao kwa ajili ya tahadhari. Ili hata kama Wachezaji baadhi wakapata maambukizi bado iwe na Wachezaji watakao shindana
 
Shida ya utopolo ni wavivu wa kufuatilia habari. Nyie mkishawafuatilia Utopolo wenzenu akina Kitenge, mkule, Dauda nk basi.
CAF wameruhusu Timu za Klabu zinazoshiriki mashindano ya CAF waongeze idadi ya Wachezaji. Hii yote ni kwa sababu za athari za covid- 19.
Simba imeongeza Wachezaji hao kwa ajili ya tahadhari. Ili hata kama Wachezaji baadhi wakapata maambukizi bado iwe na Wachezaji watakao shindana

Maajabu ni timu A kusajili timu B kukasirika
Labda kwa taarifa mimi ni Simba ila miaka ya karibuni bado simba lakini sio wale mpaka kupiga kelele. Mimi nimeongelea team za Tanzania sijaongelea team moja, wanaweza kusajili hata team mpya mpaka kocha sawa tu ila nimesema hali hii utaikuta Tanzania tu hakuna sehemu nyingine. Hao kina Liverpool tu majeruhi kibao lakini unaona wamekomaa kuna mtu katoa sababu ya corona ndio maana wameambiwa na CAF waongeze. Sasa tufanye ni kweli, team imesafiri na wachezaji 25 kufika kule wa tano corona team haiwezi kucheza? sababu hazina mashiko ila tunaweza kusajili tu wala sio issue, point yangu inabaki haya mambo yako kwetu tu.
 
Labda kwa taarifa mimi ni Simba ila miaka ya karibuni bado simba lakini sio wale mpaka kupiga kelele. Mimi nimeongelea team za Tanzania sijaongelea team moja, wanaweza kusajili hata team mpya mpaka kocha sawa tu ila nimesema hali hii utaikuta Tanzania tu hakuna sehemu nyingine. Hao kina Liverpool tu majeruhi kibao lakini unaona wamekomaa kuna mtu katoa sababu ya corona ndio maana wameambiwa na CAF waongeze. Sasa tufanye ni kweli, team imesafiri na wachezaji 25 kufika kule wa tano corona team haiwezi kucheza? sababu hazina mashiko ila tunaweza kusajili tu wala sio issue, point yangu inabaki haya mambo yako
Tofautisha usajili wa simba na hizo timu zingine unazosema zinasajili timu nzima.

Simba inasajili wachezaji wapya ili kuongezea kwenye squad iliyopo wakati hizo zingine zinasajili timu nzima na kutema timu ya zamani.Simba haijatema mchezaji yoyote wa maana, kwa hiyo huu usajili ni ili kuwa na uchaguzi mpana wa wachezaji. Na kama unafikiri mashabiki wa liverpool na kocha Klop wanaona sawa tu kutosajili sasa utakuwa unajidanganya.
 
Labda kwa taarifa mimi ni Simba ila miaka ya karibuni bado simba lakini sio wale mpaka kupiga kelele. Mimi nimeongelea team za Tanzania sijaongelea team moja, wanaweza kusajili hata team mpya mpaka kocha sawa tu ila nimesema hali hii utaikuta Tanzania tu hakuna sehemu nyingine. Hao kina Liverpool tu majeruhi kibao lakini unaona wamekomaa kuna mtu katoa sababu ya corona ndio maana wameambiwa na CAF waongeze. Sasa tufanye ni kweli, team imesafiri na wachezaji 25 kufika kule wa tano corona team haiwezi kucheza? sababu hazina mashiko ila tunaweza kusajili tu wala sio issue, point yangu inabaki haya mambo yako kwetu tu.
Shida Yenu unatoa mifano ya Liverpool wakati hata ujui kwa nini Liverpool haijasajili.
Ulishaona timu za ulaya ziko busy na usajili msimu huu wa dirisha dogo.
Haziwezi kua kusajili sio kwa sababu hawana uhitaji ila saizi timu nyingi za ulaya hazina pesa ya kusajili.
Mi nimekupa maelezo ya simba kwa sababu Ndio ulioitaja hata kama ukutaja jina. Umesema timu imeingia group stage na timu nyingine inaenda kucheza group stage na timu mpya na kocha mpya, sasa kwa hapa Tz ni timu gani imefanya hivyo kama sio simba?
Mi ningewalaumu simba kama kile kikosi kilichokuwepo wangekivunja na kuleta kingine sawa, wamefanya kuboresha kikosi.
Issue ya covid tusiichulie masihala kama bongo tunavyoichukulia. Kuna timu round iliyopita haikumaliza round ya pili kwa sababu Wachezaji wake 11 walikua na covid.
 
Kwa wachezaji wote waliowasajili Simba ni bora wangepata Striker mkali pale mbele kama Justin Shonga. Hapo wangemaliza kazi asubuhi na mapema. Maana unakuta hawa wanaosajiliwa wanazidiwa uwezo hata na Hassan Dilunga, hivyo unakuwa ni upotevu wa rasilimali fedha.
Huyo Shoga umemuona wapi? Mnakalili habari miaka mitatu iliyopita,
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Waswahili wameamua tu kula hela ya Mudi! Wanakwenda kucheza mechi 6 afu wanatolewa....! Sema ndio hivyo jamaa anakata kwenye ile 2B!
 
Back
Top Bottom