mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
This is a very important observation! Erythrocyte take note of this. Msidharau haya mambo. Huyu kuna mtu amemtuma kuwa na ujasiri wa kusema hayo aliyoyaandika.Labda ana maelekezo ya ziada.
Huyu kuna sehemu amewekwa kwa kazi maalumThis is a very important observation! Erythrocyte take note of this. Msidharau haya mambo. Huyu kuna mtu amemtuma kuwa na ujasiri wa kusema hayo aliyoyaandika.
Hata kunaswa kwa hiyo chat ni kazi yetu , ondoa shakaThis is a very important observation! Erythrocyte take note of this. Msidharau haya mambo. Huyu kuna mtu amemtuma kuwa na ujasiri wa kusema hayo aliyoyaandika.
Hamna lolote kama hawakumuua 2020 hawawezi Tena. Samia sio JPM no wonder alienda mtembelea Lissu hospitalini so order zake kama commander in chief zipo very clear. Failure to adhere watanyongwa hadharani trust me. Maana mama Yuko unpopular so ikitokea Lissu kauawa ndio itakua mwisho wake maana wapinzani ndani ya CCM plus upinzani wa nje ya CCM is a risk she's not ready to take.This is a very important observation! Erythrocyte take note of this. Msidharau haya mambo. Huyu kuna mtu amemtuma kuwa na ujasiri wa kusema hayo aliyoyaandika.
Kweli sura sio roho. Mtoto wa kike kuwa na roho chafu hata haipendezi.
Ila asilaumiwe sana, siasa zimejaa unafiki. Unaweza kuta watu wanapatana hadharani ila nyuma ya pazia uadui upo pale pale.
Labda ana maelekezo ya ziada.
Pamoja na kwamba hakuna mtu ana shida na Lisu ila akiuawa hamna kitu kitafanyika, watu watalia watasahau basiHamna lolote kama hawakumuua 2020 hawawezi Tena. Samia sio JPM no wonder alienda mtembelea Lissu hospitalini so order zake kama commander in chief zipo very clear. Failure to adhere watanyongwa hadharani trust me. Maana mama Yuko unpopular so ikitokea Lissu kauawa ndio itakua mwisho wake maana wapinzani ndani ya CCM plus upinzani wa nje ya CCM is a risk she's not ready to take.
Hamna kitu? Chuki ni mbaya.... kwani watu wa JPM huoni wamekua wakali sana Toka msiba wake na ipo wazi CCM Kuna mpasuko kitu ambacho mama kinampa presha. No wonder akaona Bora maridhiano Ili awazibe mdomo wapinzani kwa muda Ili apambane na wapinzani wa ndani kwanza. Ila akiuawa Lissu Ina maana probability ya Chadema kuuangana na watu wa JPM Ni kubwa sana kitu ambacho kitakua mwisho wa Samia kisiasa.Pamoja na kwamba hakuna mtu ana shida na Lisu ila akiuawa hamna kitu kitafanyika, watu watalia watasahau basi