Ni muhimu pia kujua kabila lake.Kweli sura sio roho. Mtoto wa kike kuwa na roho chafu hata haipendezi.
Ila asilaumiwe sana, siasa zimejaa unafiki. Unaweza kuta watu wanapatana hadharani ila nyuma ya pazia uadui upo pale pale.
Labda ana maelekezo ya ziada.
Nimemaliza