Anayetishia Ujio wa Lissu Tanzania ajulikana. Ni Afisa wa Polisi wa Kike Julius Nyerere International Airport (JNIA)

Sasa tuache malalamiko ya kumuona lisu ni kama special cases


Hayo matukio yapo mengi sana
Hayo matukio yanamiona Lissu tu?
Lissu ni special na kila mtu anajua hilo.

Ubaya wa Lissu ni kuutaka Urais ambao CCM wamejimilikisha.

Ona tofauti kati ya TL na Spunda wa Chauma
 
Na mimi ndo nilikuwa nawaza hili, huenda walikuwa wanachati mambo ya kimzaha mzaha.........ni sawa na usikie shabiki wa mpira aseme leo tutachinja mtu, basi wewe hilo jambo ulikomalie bila kujua alikuwa anaongea kwenye muktadha upi.
 

sheria ni mchezo mchafu sana[emoji23][emoji23]

mpaka hapo hana kosa huyu mtu.
 
Wakumpelekea mpini wangu huyu naulivo mrefu ungemfaa ,katikati ya mchezo anaulizwa chadema unaionaje "anaingizwa taratibu kwaukamilifu anajikuta anafunguka "
 
Huyo Lissu ni nani nchi hii kama sio kibwengo tu hamna Cha kumfanya huyo afande, Lissu hamtishi mtu kwa sasa katika hali ya kawaida hakuna wa kuhangaika na watu wa makundi maalumu maana wao wana heshima za kipekee kama malaika. Acheni uoga
Punguza ujuha
 
Hayo matukio yanamiona Lissu tu?
Lissu ni special na kila mtu anajua hilo.

Ubaya wa Lissu ni kuutaka Urais ambao CCM wamejimilikisha.

Ona tofauti kati ya TL na Spunda wa Chauma

Kwani ccm walishindwa kumkata jina lake? Angefanya nn? Tume wangesema ajakidhi vigezo?

Chadema ukisikia kwenye mitandao utasema ni lichama ambalo anytime linaingia mtaani Ila In reality hakuna lolote

Mbowe alipata case ya terrorist amekaa jela almost mwaka mzima eeeh mlifanya nn?
 
Sizani kama ningeajiriwa Police ningekuwa mjinga kiasi iko?
 
Kwa tunaomjua huyo Joyce alietrend kwenye picha sii polisi wala hajawahi kua. Picha ni za mtu mwingine na Joyce aliecomment ni mtu mwingine
 
Lichama lililosababisha Nchi nzima internet ikazimwa 2020 October 27, 28, 29, 30 na 31 ni lichama kubwa sana.
 
Lichama lililosababisha Nchi nzima internet ikazimwa 2020 October 27, 28, 29, 30 na 31 ni lichama kubwa sana.

Hizo ndio sifa za kijinga na ukubwa wa kijinga

Internet ingekuwepo mngefanya nn?
 
Huyo kibaraka amefukuzwa na mabwana zake arudi kwao sasa anatafuta sababu ya kufuta ujio wake eti atashughulikiwa akifika.
Mtu mlaku wa kula na pesa amezoea vya dezo. Wamesema wanamkatia umeme na maji arudi kwao. Kama kawaida ya mabeberu wakiona huna tena faida wanakuterekeza 'wana kudump'
Hua nashangaa jinsi lissu anafikiri anapendwa tz. Mtu mbishi wa kuzaliwa. Kwake siasa ni kubisha kila kitu uzushi na kusema uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…