Hayo matukio yanamiona Lissu tu?Sasa tuache malalamiko ya kumuona lisu ni kama special cases
Hayo matukio yapo mengi sana
Lissu ni special na kila mtu anajua hilo.
Ubaya wa Lissu ni kuutaka Urais ambao CCM wamejimilikisha.
Ona tofauti kati ya TL na Spunda wa Chauma