Anayetishia Ujio wa Lissu Tanzania ajulikana. Ni Afisa wa Polisi wa Kike Julius Nyerere International Airport (JNIA)

Kweli sura sio roho. Mtoto wa kike kuwa na roho chafu hata haipendezi.

Ila asilaumiwe sana, siasa zimejaa unafiki. Unaweza kuta watu wanapatana hadharani ila nyuma ya pazia uadui upo pale pale.
Labda ana maelekezo ya ziada.
Ni muhimu pia kujua kabila lake.

Nimemaliza
 
Picha zipo wapi
 
Pamoja na kwamba hakuna mtu ana shida na Lisu ila akiuawa hamna kitu kitafanyika, watu watalia watasahau basi

Maneno yako ni kweli , wameuwawa wengi wala hamna chochote kimefanyika .
 
Mjumbe hauwawi!
Your browser is not able to display this video.
 
Mtu anayejielewa anaibiwa majimbo 20 analalamikia jimbo moja?

Si ndio nilikuambia walielezea mapema kuwa lengo lao ni kuwaona CCM wamebadilika ili kuweka mwanga wa chaguzi zinazokuja wewe ukaja na maneno ya kukataa kuwa si kweli. nikakuuliza jee uliwasikiliza ukaniambia hao ni wajinga
Sawa wewe mwenye akili nyingi bakia hivyo hivyo na kulaumu hapa kwenye JF labda CCM itaondoka
 
Kama kweli huyu dada ni asikali nategemea jeshi husika litatoa tamko
 
Unajua wale waliommwagia Mh. TL mvua ya risasi pale Area D - Dodoma walikuwa na vyeo gani pale getini Kijitonyama na Mbweni!!!??
 
tunasema ole wake na hata yeye hatabaki salama.ajitafakari.tunataka siasa safi na si za chuki.
 
Lisu na CDM wapuuzeni hao wazushi,

Nimeiona maaskari Nchi nzima wakijiandaa kulinda mikutano ya hadhara sawasawa na agizo la AMIRI Jeshi mkuu.

Wenye vitambi wanatenga muda wa ziada Ili wawe fit Zaid.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nawasubiri kwenye mikutano nione kitatokea nini?

Hawa chadema ni bure kabisa. Walivyokuwa wanabweka juu ya mikutano nikitegemea muda huu kila kona kumechachamaa kwa ajili ya hiyo mikutano yao
Yaani mikutano ichachamae bila ya kuwa na mikakati na kuipanga!!??
Kweli CCM hamna kitu vichwani ndio maana miaka 60 ya uhuru bado mmeshindwa kuwa na mikakati ya kuondoa maadui wakuu wa Mtanzania zaidi ya kuongeza maadui wengine.
 
Lisu auawe kwa lipi?

Nitajie watu 3 wa Magufuli ambao ni wakali sana toka msiba wake utokee ambao ni tishio kwa Samia.

Alafu rais ni mtu mwenye nguvu sana hapa nchini, kufikiri anawaogopa wafuasi wa Magufuli ni kujilisha upepo!
Wakali si wanafahamika Kuna Bashiru, Polepole, na Kabudi let alone kina Mpina.

Ni kweli mwenyekiti wa CCM ana nguvu kuliko binadamu yeyote ILA presha ya upinzani plus presha ya ndani ya chama Mama Samia hatoiweza hata kama ana Dola.

2015 kikwete hakua na Dola? Ile presha mpaka kuelekea uchaguzi ikabidi wamteue JPM unadhani bila upinzani kuwa imara both ndani na nje ya CCM JPM angepitishwa?? Hofu ya kuanguka ndio ilibidi wampitishe mtu asiyekua makando Kando kuliko wengine.

Kama mama Hana hofu na yeyote asingemuita Mbowe mezani Wala asingetimua watu wa JPM serikalini
 
Hata Lissu alipopeleka malalamiko yake pale Central Police(DSM) ya kwamba kuna gari linamfuatilia alipuuzwa na baadhi ya wanazi walidai nani amuue Lissu eti mbona anajipa umuhimu ambao hana, kilichokuja kutokea ndipo ikaonekana kwamba ilikuwa ni planned move iliyopangwa 'Magogoni'.
Precautions ni jambo la busara siku zote.
 
Pamoja na kwamba hakuna mtu ana shida na Lisu ila akiuawa hamna kitu kitafanyika, watu watalia watasahau basi
Kama alivyouawa Jiwe ili kuirudisha nchi katika amani na sasa watu wanaishi kwa raha, waliolia walilia yakaisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…