Anayetumiwa na CHADEMA kuvujisha SIRI za wateja wa TIGO huyu hapa

Anayetumiwa na CHADEMA kuvujisha SIRI za wateja wa TIGO huyu hapa

Status
Not open for further replies.
Sure mkuu. Kwa sasa watu wataacha kuwasiliana kwa uhuru na wapenzi wao maana kwa jinsi nimjuavyo dr slaa atanogewa na ataanza kufuatilia kwa tamaa zake za kimapenzi. Babubwana wala hachoki. Au ndo analipiza ujana wake alioupoteza kwa kuwa padri

Mpumbavu Sana ww, Mmeshikiwa pabaya hivi sasa mmeanza majungu ya kupika hapo lumumba na kwa taarifa yenu mtazidi kuumbuka before 2015, Period...
 
Kwanza kabisa nikueleze tu wewe huna tofauti na uyo unaemsema.je ulikubaliana nae uweke number yake humu?
Je wewe unaongea kama nani?

Tunajua katika biashara na siasa kuna mambo mengi,ila nikuulize kinakuuma nini mtu akitoa taarifa sahihi ili haki ipatikane?
Je humu jf ni polisi?kama una vithibitisho umeenda polisi?
Kuhusu uanachama wako na chadema umeutaja ili uonekanaje?
Kwa nini umemuhusisha slaa moja kwa moja kabla hujahakikisha?
Te tuamini ulichokileta bila evidence?
Baada ya wana jf kujua yote haya unataka tufanyeje?
******ni hatari kutumika kama mipira ya kike au kiume sababu baada ya mda utatupwa******

tuletee na uhuni wa ccm wanaofanyaga mfano kuingiza mtambo wa kusoma meseji za watu na kuandika

kama una nia ya dhati bravo ila nina wasiwasi elfu saba ikiwa imekuhusu

nijibu then ntaendelea.
 
"Kinana" weka mbali na tembo....ccm ni wazee wakung'oa wananchi kucha na meno.ndugu wananchi tuiogope ccm ni janga la taifa.ccm no majangili ya tembo yakiongozwa na muhamiaji haramu mwenye uraia fake kinana
 
TIGO ni part of millicom international. Nawaamini sana jamaa kwenye information risk mgt, embu rudi tena na data zingine ili twende sawa. Hapa nadhani wewe ni mfanyakazi wa TIGO na hivyo wataka huyo mdada afukuzwe nchini ili kulinda maslahi yako binafsi.
 
Sasa mzee slaa anataka nini kwenye simu za watu au naye ni gaidi .
 
Mmekosana nini na huyo Rosa? Hakika unamfitini sana. Ngoja tuone. Hebu tueleze alimwaga siri gani zenye chumvi kwa CHADEMA?
 
Issue kama hii kaka sio private ni public. Na kwa taarifa ni kwamba kwa nchi ambazo ziko serious, huyu jamaa alitakiwa awe under arrest. Rejea scandal ya News of the World iliyopelekea hiyo kampun yenyewe kufungwa.

Hii ni hatari hata kwa TIGO yenyewe as a company, wateja watawakimbia!

Hivi unaweza kuthibitisha amefanya mnacho mtuhumu? au kwa sababu ya hiyo picha na namba yake? ujiulizi kwa nini tcra hawawapeleki cdm mahakamani? hiyo nchi gani unaiongelea mabayo inakamata watu kwa kuwa watu wamesema tuu hata bila ushahidi, labda unaongelea tanzania lakini si nchi zenye utawala wa sheria kwelikweli.
KWELI Marando kiboko yenu.
 
kwanini chadema inatafuta madaraka kwa nguvu hivi??? kuna nini kimejificha nyuma ya pazia???
 
Huyu kama siyo mtu wa Amerika ya kusini basi atakuwa mtu wa spain. Haitashangaza kama hata yuko nchini kimagumashi kama expert fulani.
 
hiki chama hakifai katika jamii iliyostaarabika ya watanzania

Tendwa amekiona kinafaa na ndio maana kipo kisheria, najua unakichukia kwakuwa hakitoi 7,000 kwaajili ya kuchafua watu mitandaoni bila hoja ya msingi kama wafanyavyo waliokutuma. Tumika tu kwa sasa ila fainali ni uzeeni!
 
Hivi unaweza kuthibitisha amefanya mnacho mtuhumu? au kwa sababu ya hiyo picha na namba yake? ujiulizi kwa nini tcra hawawapeleki cdm mahakamani? hiyo nchi gani unaiongelea mabayo inakamata watu kwa kuwa watu wamesema tuu hata bila ushahidi, labda unaongelea tanzania lakini si nchi zenye utawala wa sheria kwelikweli.
KWELI Marando kiboko yenu.

Ukipewa ushahidi kuwa ni kweli alifanya hivyo, will it change your opinion? Just curious maana MACHADEMA huwa hawana makosa,

ni CHADEMA mbele ukweli nyuma!
 
Kuna watu hapa wa ajabu kweli. Kwani kujiunga leo ndiyo kunamfanya awe tofauti kihadhi na kifkra hapa JF.


Hajasoma rules and regulation: unafahamu hii rule wewe

1 - Flaming, Bashing, and Trolling:
Hate posts and personal attacks will not be tolerated on the boards. Treat others on these message boards as you would expect them to treat you.

Huyu bwana aliyekuwa accused wewe unadhani atajiteteaje hapa? Yaani mm nikigombana na wewe nikimbilie huku jamii forums na kuweka number zako za simu na email yako kuwa unawapa siri cdm?

Watu wa ajabu sana nyie

 
Napata shida sana na chama hiki kwa nini maovu mengi ni yao kila kukicha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom