Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, chadema wameshikwa pabaya. Wanakdhani kwa kuwakumbatia wazungu wasio waadilifu ndo watatwaa madaraka. Hawapati ng'oNchi yetu inajukumu sasa la kupambana na hawa wageni wasio waadilifu kwani wanatuvurugia taifa letu siwapendi,na hawa chadema wanalipeleka wapi taifa hili?
Mnataka kumchafua mzungu wa watu kwa tuhuma za kupika
Hakuna cha kupika. Naiamini taarifa hiyo kwa asilimia mia moja maana jamaa kaweka contact za mhusika zote
HahaA! Nimeshapata dawa yake, namfahamu secretary wake, dereva wake na wasaidizi wake, nitawatumia hao kumwadabisha, si unajua ile kitu anatembea naye ben saanane?
Huyo ndiyo ataeleza vizuri polisi kama yuko kwenye mtandao wa SNOOPING au he's acting alone.Kupitia tigo pamoja na Voda, airtel, zantel, yahoo, hotmail Gmail n.k ni sehemu ya mitandao ambayo siri chafu za ccm zimekuwa zikivuja pia, je huyu Rosel ana husika pia na kampuni zote hizi???
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Kama watapeleka kwenye mamlaka husika haitakuwa tabu. Lakini kuwapa wahuni kama dr slaa huko ni kukiuka maadili ya kaziMh hivi niulize ikitokea Leo hii mtu kutoka kampuni yoyote ya sim akisema Ana namba za waliolusha bom Arusha jinsi walivyokuwa wanawasiliana atakua kaingilia mawasiliano ya watu?polis hawatajisifu kua tumenasa mawasiliano ya waarifu ? Acheni ushabiki
Mkuu, chadema wameshikwa pabaya. Wanakdhani kwa kuwakumbatia wazungu wasio waadilifu ndo watatwaa madaraka. Hawapati ng'o
Me niko positive na government. Situmiwi na wahuni kama akina slaawewe itabidi polis wakutafte
Nashukuru kwa majibu kimbungaMkuu udukuzi wa mawasiliano hauruhusiwi hata hapa Tanzania. Ni kosa la jinai kufanya hivyo. Nadhani Polisi wataruka na huyo Rosa ili wacheze naye ngoma.
Mkuu kizazichadotcom hivi huyu Rosa ni Mswahili ama Mkoloni (Mzungu)?
chadema wanaliharibu taifa
Nakula kutokana na jasho langu. Situmiwi na chadema kama condom kama ufanywavyo wewe
Kuna kitu kinaitwa data protection act sijui kama huko nyumbani kipo.
Kuna kitu kinaitwa data protection act sijui kama huko nyumbani kipo.
Nashukuru mkuu kwa kunithibitishia kuwa chadema kuna fikra changa. Poleni sana mnaoongozwa nafikra changafikra changa ndizo hutumiwa chadema wote tumepevuka kiakil wewe mwenye fikra changa TUMIKA