Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, wewe unapaswa kuunganishwa na akina lissu kwenye ile clinic ya dr kigwangalakumbe na wewe una mental disorder kweli wagonjwa weng
Tanzania hakuna sheria inayomkinga mpiga filimbi na hata kwenye nchi zenye hiyo sheria, kuna mipaka ya mpiga filimbi kupiga filimbi yake.Kuna kitu kinaitwa whistleblower (whistle-blower or whistle blower) sijui kama unakifahamu pia?
Kuna kitu kinaitwa data protection act sijui kama huko nyumbani kipo.
Wahusika wakanushe basi kama ni post ya uongo. Hata dr slaa ambaye ndo mtuhumiwa nambari moja hajatia mguu humu. Yupo upande wa guests anachunguliaacha uongo wako huyo mzungu atowe data kwa chadema anajipendekeza nn kwa chama ambacho ajuwi kikiingia madarakani kitakuwa na sera gani kuhusu wageni na wawekezaji km yy
kwanza ujaonyesha ushahidi wako kwa hili
kwa taarifa yako IT uijuwi ww ungeijuwa usingetoa post ya kinazi km hii
huu ni uchochezi mkubwa na TIGO wanaweza kukupeleka mahakamani kwa uzushi wa mchana kweupe
Ushahidi umeshapelekwa mahakamani. Kwani mtindo wa siku hizi ni kulikisha ishu kwenye mitandao sambamba na kufikisha polisiMnaona mnaumbuka mnatafuta mchawi! Leta ushahidi wa hicho unachosema! Magamba mtaaibika kweli msimu huu!
Sure mkuu, anatumika kwa maslahi ya waganga njaaNjaa mbaya kijana anatumika kwa maslahi ya Dr Slaa na Mbowe.
Mkuu unamawazo mazuri heko kwako mkuu endelea kuwapiga shule.UZALENDO NI KULIFANYIA MEMA TAIFA.
HIVI SIRI ZOTE ZILIZOWEKWA HADHARANI ZINA HATA CHEMBE YA UZALENDO?
KIASI CHA MLETA THREAD KUTAKA ZILINDWE KWA KUITWA SIRI????
kwa taarifa tu hakuna unafuu tena mtakaopata endeleeni kulusha mateke yanayoashilia anguko la wataala waliowasahau wananchi.
UMETOKA POVU KUTETEA NJAMA ZA KULIANGAMIZA TAIFA.bila shaka nawe ni mnufaika.
TAARIFA KWA WOTE WANADHANI KUNA USALAMA KWENYE MAWASILIANO.
hakuna nchi yoyote duniani inayoweza kudhibiti mawasiliano.
MUULIZENI MAREKANI NA CIBER ATACK.
MUNAMJUA JULIAN ASANJE.
ushauri wangu kwa wote wanaofanya mawasiliano MAOVU NA YAKIHALIFU HUKU WAKITEGEMEA HURUMA YA KITU KINACHOITWA SECURITY.
fanyeni yafuatayo
(i)aacheni kupanga mambo yenye uovu.
(ii)igeni mbinu ya gaidi maarufu OSAMA BIN LADEN,TUMIENI MBINU YA MESENJA WAAMINIFU KWA UJUMBE WA MDOMO AMA BARUA
NB:barua zinaweza kuvuja pia.
DAWA NI KUACHA MATUMIZI YOTE YA MAWASILIANO YA ELECTRONIC.
wataalamu wazalendo ni wengi sana sasa na hawatakoma kutoa taarifa za kiovu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Muraa mimi sio mwana sheria.Mbunge mtarajiwa Chris Lukosi hata mambo ya msingi kuhusu nchi yako huyajui.
Naomba nikukumbushe kuwa Mwezi June umebisha hodi tunakusubiri na Container la mitumba grade one toka UK.
Mkuu, wamezoea vya bure hawa. Ndo maana wanatumika vibayaMuraa mimi sio mwana sheria.
Na pia sio rahisi kujua kila kitu hata kama uko hapo Dar.
Kuhusu mitumba nani alikuambia ninaleta mitumba ya bure? kwani mimi ni unicef?