utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,813
- Thread starter
- #141
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa anapatikana wapi, maana jinsi nilivyo na hasira naye, nitaondoka na kichwa chake, wala sisubiri vyombo vya dola vifanye kazi yake
Mtu kama huyu hana hata aibu. kwanza anaishi nchini kwa hisani halafu anaanza kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa sheria kwa SNOOPING AND SNIFFING huku akishirikiana na watu wanaojinasibisha kama wanataka kuzilinda sheria za nchi kwa njia ya kututawala.
How stupid is this?
The same to you!How stupid are you?
Kifupi chadema ni chama cha hatari zaidi ya Ukimwi!Chadema hawana maadili kabisa!!!
Kuiba mawasiliano binafsi ya watu ni sawa na KUPIGA CHABO...
View attachment 93568
View attachment 93569