Anayetumiwa na CHADEMA kuvujisha SIRI za wateja wa TIGO huyu hapa

Anayetumiwa na CHADEMA kuvujisha SIRI za wateja wa TIGO huyu hapa

Status
Not open for further replies.
Huyu jamaa inawezekana amefukuzwa kazi umeunder perform halafu unaleta chuki binafsi.
Hebu nenda huko
 
Lakini hawa watu wanaotumiwa na wanasiasa kwa maslahi ya kisiasa wataendelea kutumika hadi lini? Na wataishia wapi?
 
View Profile: kizazichadotcom
User Name: kizazichadotcom
User Title: Junior Member
Last Activity: Today 17:42

Ndio walewale kizazi cha Nape wakiwa kazini
 
Huyu jamaa anapatikana wapi, maana jinsi nilivyo na hasira naye, nitaondoka na kichwa chake, wala sisubiri vyombo vya dola vifanye kazi yake

Chunga maneno yako, ni ya kichochezi kupita kiasi, kwa taarifa yako yanamuweka katika wakati mgumu sana katibu mkuu wa ccm A. Kinana kwa jinsi anavyochukiwa na watanzania kwa kutuhujumu nyara za taifa letu. Laiti ungekuwa na akili kidooogo angalau mfano wa kichaa.
 
huu mtindo wa kutaja namba za simu za watu na kuzianika katika mtandao sio uungwana hata kidogo! nadhani kumtaja mtu, kuweka picha yake, kutaja kosa lake ambalo ni tuhuma na halijathibitishwa, na kueleza namna ambavyo ungependa uma umchukie sio busara wala mada kama hii haiwezi kujadiliwa na waungwana kabisa. ungetaja na jina lako pia, uandike na namba yako ya simu, na ueleze na makosa yako na pia utueleze umepataje habari zote hizo! jamani tusitumie mitandao hii kuwa demonize watu tuliotofautiana kazini!
 
Amini nawaambieni, siku yaja ambapo halitasalia jiwe juu ya jiwe.
 
Mtu kama huyu hana hata aibu. kwanza anaishi nchini kwa hisani halafu anaanza kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa sheria kwa SNOOPING AND SNIFFING huku akishirikiana na watu wanaojinasibisha kama wanataka kuzilinda sheria za nchi kwa njia ya kututawala.

How stupid is this?

How stupid are you?
 
Kunahaja ya kuwa na bastola watu kama huyu mzungu ukigundua kavujisha mawasiliano yako unamtafuta mnamalizana,lakini mzee slaa hizi namba anazifanyia nini akipata hayo mawasiliano ya hawa watu du! Kazi kweli.
 
Mtoa thread wewe sio chadema,CDM hamnaga watu type yko wenye upeo finyu wa kufikiria na kutumiwa M-pesa za 50000-ni dhahiri kuwa umetumwa na hata huyo rosale ambaye unasema anavujijisha details anaakili mara mia kuliko wewe kijana wa lumumba na analitetea taifa lako ,Hv mara ngp CCM wamecheza faulu umekuja kutoa uzi hapa?Leo tuu hii. Ndugu lwakatare anasoteshwa na kukalishwa jela bila sababu za msingi mbona hujalalamika?km ww ni Cdm sasa fikiria angekuwa ndo jamaa yako tu yani si ndugu kiitikadi ungefurahi?shame on u!!Nyie ndo type ya watu ambao china wana wa hang!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
wewe ndo uliyepost kule tanuru la fikra?..nafikiri wame i delete post yako
 
tigo sio waaminifu kwa taarifa za wateja wao, njaa zimewazidi
 
Kama ndio yeye basi nampongeza sana kwa UZALENDO aliouonyesha wa kufichua mawasiliano baina ya MAFISADI na MAGAIDI wa kweli waliokuwa wakipanga mipango michafu dhidi ya Nchi na Wananchi wake.
 
Kijana anatumika vibaya Chadema mnazidi kujiaibisha.

Cc.. chama,
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom