Anayetumiwa na CHADEMA kuvujisha SIRI za wateja wa TIGO huyu hapa

Anayetumiwa na CHADEMA kuvujisha SIRI za wateja wa TIGO huyu hapa

Status
Not open for further replies.
Huyo Carlos sio mtu wa IT Yuko SALES atapataje hizo data

you better keep cool my friend..tupigane kulijenga taifa hili, sio kulibomoa.. wajukuu zetu watahitaji tanzania ile tuliyoikuta sisi
 
Wewe una cheo gani cdm wewe? sio uzushi mwingne huu mnatungia watu kes acheni njaa zenu mwisho ukifka huna njia lazima utii hilo...
 
Imetoka kwa lwakatare imehamia tigo ngoja tusubili nyingine maana tumezoea kuambiwa ushahidi upo na ikiwezekana hata mbinguni utatolewa. Ila nafikiri ktk nyote mnaojifanya wazalendo mimi nawaona kama wanafiki na wazandiki kwanini mnajenga hoja zinazofanana na kinyesi? Badilikeni acheni siasa za kuchafuana .
 
Mkuu, kama huamini hoja taarifa hii sijui utaamini taarifa gani

Mbona haiaminiki kabisa! Mwehu yeyote barabarani anaweza kukurupuka na kucook up a story like this na kuipost hapa jf. Proof beyond doubts is needed here
 
Hahahahahaa baada ya filamu ya ugaidi ya nchemba na lodovick kufichuliwa na mawasiliano ya simu ya liyo kamatwa sasa mwatafuta mchawi hahahaa aibu zenu milele.
Kisha wajaribu kujiita mwanachama wa CDM wewe 'ghiriba' na mmbea wa santuri usiye na mashiko unatapatapa tu. aibu yako. aibuuuuuuuuu.

mimi na wewe nani anapaswa kupata kupata aibu???? ungekuwa na akili timamu ungetumia muda kidogo kutafakari kilichoandikwa kuliko hivi ulivyokurupuka..any way..sio kosa lako
 
Kuna kitu kinaitwa data protection act sijui kama huko nyumbani kipo.

Acha ujinga wewe ndondocha hata uwe na hiyo ati dataprotection wajanja wanaingia tu!!Lol na kuishi kote Uk hata huna ujualo kuhusu mtandao pole sana Gamba njaa
 
unajaribu kuhamisha mjadala ee??? nina uhakika na maelezo yangu na hakuna mahali nimemuonea mtu..waje wapinge na ntawachallenge ktk hoja zao..sio ww unabuni buni hapa..

Kaka hiyo nikweli, jamaa ana bif na shkaji. Hii iko wazi kabisa sasa anataka kuja huku jf kujaribu kumfedhehesha jamaa tu.

Achape lapa!
 
Mbona haiaminiki kabisa! Mwehu yeyote barabarani anaweza kukurupuka na kucook up a story like this na kuipost hapa jf. Proof beyond doubts is needed here

wapi haiaminiki na wapi ina mapungufu. hebu wewe jaribu kufanya hivo unavyofikiria..take ur mind beyond the normal limits, kuna kitu utajifunza
 
karibu jf, leo ni siku yako ya kumi, mbona hukupeleka hii taarifa polisi kama alivyofanya nchemba kwenye mkanda wa lwakatare?
 
Kaka hiyo nikweli, jamaa ana bif na shkaji. Hii iko wazi kabisa sasa anataka kuja huku jf kujaribu kumfedhehesha jamaa tu.

Achape lapa!
Snema mpya hii usikute aliye post ana bifu la kimapenzi na jamaa, waswahili wanathamini ngono kuliko kazi.
 
mimi na wewe nani anapaswa kupata kupata aibu???? ungekuwa na akili timamu ungetumia muda kidogo kutafakari kilichoandikwa kuliko hivi ulivyokurupuka..any way..sio kosa lako

Mkuu kubali yaishe siku nyingine ukileta pumba zako hapa usijiite ati Mzalendo wa nchi yangu na mwanachadema,Mzalendo au MM...kuuu...nduu....ko,Tembo wanauliwa na Kinana mnashindwa kufuatilia mnapoteza muda ati kuwapambikia kesi wananchi na kuwaita magaidi ilhali nyie ndio Magaidi wakubwa hata huna haya ati Mwanachadema!!Kama kweli ulishamfahamu huyu jamaa kama usemavyo iweje PoliceCcm na Serikali yenu ya wezi watupu mnashindwa kuwakamata watu wanaotoa vitisho kwa njia za simu???Acha unafiki wewe njaa itakupeleka kubaya kesho unaweza kuombwa ili kitu TIGO then ukatoa kwa ulaini tu ili chapaa iingie njaa mbaya sana
 
Hukuna wa kukulaumu si kosa lako,kosa ndio yule aliyekutuma kuja kuweka hii kitu pumba hapa JF kwanza huyo jamaa si Mzungu ni mlatino tatizo la wabongo kila mtu mweupemweupe ati mzungu ndio maana hata wachina mnawaita wazungu kule kijijini kwenu
 
Ukiona mtu anaonyesha weledi wake wa ujinga then akajifu jua huyo hayuko mbali na kuokota makopo
 
Akili zenye matope nazo ni akili,mleta uzi ulitegemea nini?hata hivyo kama habari ni ya kweli wewe ulitaka muendelee kupanga mipango ya kihalifu kuihujumu CHADEMA kwa kisingizio cha sheria mliyoipitisha ingali mbovu kwa kutumia wingi wenu bungeni ili iwasaidie kufanya uhalifu?kwa akili ndogo tu,ktk uhalisia,nani anatenda kosa,mwenye kutumia mawasiliano kuwadhuru wengine kwa kupanga njama za kuhujumu?ama anaetumia mawasiliano kwa kujilinda asidhurike?
 
Na wewe si unajua kuchafua wenzako jiandae tutakutrack na tutakupata jina lako halisi tutabandika na picha yako,jiandae kurudi humu kuthibitisha hizi tuhuma . IP address yako itatusaidia kukupata tuu , tushasema uchochezi hautakiwi JF

Umesababisha Mitandao yote leo ipo busy (TOGO PESA !MPESA !AIRTEL MONEY NA ZPESA),kisa leo watu wapo busy wanarushiwa buku saba zao , .si unaona kwenye uzi mlivyojaaa. Mnajitekenya na kujicheka , hahahhahahahhahahahahahhahahahaha , NA BADO B..WEGE WEWE .
 
Na wewe kwanza utueleze unalipwa ngapi na akina nani kwanza !! As usual umejiunga juzi tu lkn ni wazi kwa kazi moja tuu !!
Juhudi hizi zingetumika kuleta maisha bora mbona tungekuwa mbali sana ?

Unamwonea kwa vile mzungu lakini wale waarabu mmewakimbiza wakalala magogoni na then mkawasafirisha haraka haraka ili jamaa wasichomoe nyaya... !!
 
CD ya ugaidi na mkanda feki wa video imechuja. Naona sasa mnakuja na CD nyingine nyie magamba.Kazi munayo! Cdm mwendo mdundo spidi mshale. 2015 barazani kwenye mkeka miguu juu magogoni
 
wanaJF,

Ninamchallenge kizazichadotcom, aweke hadharani hizo emails anazotaja! Vinginevyo ni upuuzi tu.

Naomba niwajulishe WanaJF kuna watanzania wema, wenye dhamira safi, wanaoelewa utawala bora, na wenye uchungu na Taifa hili. Ndio wanaotoa Taarifa ya aina zozote za uhalifu. Kumbuka uhalifu ni uhalifu, kutoa siri ya uhalifu ndani ya chombo chochote cha sheria au kupitia chombo cha Serikali ni jambo na kitendo cha kizalendo. Asiyekubali kuwa sehemu ya bozo na uchafu ni jukumu na wajibu wake kuweka hadharani.

Kumbukeni Marmo aliposema Bungeni Dr Slaa tutakukanata, jibu langu lilikuwa jepesi, "Marmo" tutakukamata wewe kwa kuwa ndani ya kabuki za Serikali haitakiwi kuwe na uozo wala uchafu wowote ule. Hivyo Chadema hatuhitaji kulipa wala kununua document yeyote ile kwa kuwa watanzania wengi bado wana dhamira safi hivyo wanapotoa wanatoa nyaraka kwa uzalendo.

mkuu, hayo unayoyasema kuhusu uzalendo na kupeleka taarifa kwenye vyombo husika wewe unafanya hivo???? wewe ni mzalendo sana??? kwanini unapenda kurukia media badala ya kushirikiana na hiyo serikali unayoitaja hapa kushughulikia matatizo??? ni jana tu tumekusikia ukibwabwaja eti kikwete ni mdini na alifanya kampeni misikitini, umejisahau wewe ambaye ndio muasisi wa udini ulipofanya kampeni makanisani na ilikuwa hivyo nchi nzima mapadre, wachungaji walihubiri jina lako kwa nguvu????wewe ndio mwasisi wa udini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom