Anayeuza bidhaa nje hawezi kukosa dollar: Niseme tu ukweli dollar haiwezi kupatikana bila kuzalisha bidhaa za kuuza nchi za nje (Balance of Trade)

Anayeuza bidhaa nje hawezi kukosa dollar: Niseme tu ukweli dollar haiwezi kupatikana bila kuzalisha bidhaa za kuuza nchi za nje (Balance of Trade)

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
1691170897282.png
Mimi binafsi sina hakika kama dollar ni tatizo la dunia nzima.
Kwamba tukilima mahindi mengi tukauza nchi za nje hatuwezi pata hizo dollar?

Kwamba tukilima kahawa kwa wingi tukauza nje ya nchi hatuwezi pata hizo dollar?

Kwamba tukilima korosho kwa wingi tukauza nje ya nchi hatuwezi pata hizo dollar?

Tukilima mchele mtamu kwa wingi hatuwezi kupata hizo dollar?

Kwamba tukiamua kuacha kununua vitu visivyo vya lazima nje ya nchi hatuweza kuwa na dollar za kutosha kwenye benki zetu?

Kwamba tukiamua kuzalisha umeme, madini na gesi kwa wingi na kuuza nje ya nchi hatuwezi kupata hizo dollar?

Kwamba tukiamua kuanza kuzalisha mafuta ya petroli na dizeli hapa nchini kwa kutumia gesi asilia yetu na kupunguza kuagiza nchi za nje hatutakuwa tunabakiwa na dollar za kutosha?

Kwamba tukiamua kuanza kuzalisha mbolea na madawa ya kilimo kwa kutumia gesi yetu asilia kupunguza kuagiza nchi za nje hatutakuwa tunabakiwa na dollar za kutosha?

Calculating the Balance of Trade
A country's balance of trade is calculated by the following formula:

BOT=Exports−ImportsBOT=Exports−Imports

Example of How to Calculate the BOT
Here's an example of how to calculate the balance of trade:

Let's say that a country's exports of goods in a given year are worth $100 million, and its imports of goods are worth $80 million. To calculate the balance of trade, you would subtract the value of the imports from the value of the exports:

Balance of trade = Exports - Imports
= $100 million - $80 million
= $20 million
 
Kwani hatuzalishi bidhaa za kuuza Nje? Kwani hatuna Utalii? Shida ni kwamba uzalishaji Bado sio mkubwa na pia bei ya bidhaa tunazoagiza Nje nyingine zimepanda sana.
---
ANZANIA, Dar es Salaam: Imports of goods and services increased to 14,598.6 million US dollars in the year ending May from 11,389.6 million US dollars in the corresponding period last year on high import bill.

According to the Bank of Tanzania (BoT) monthly economic review for June, the increase was mainly driven by imports of white petroleum products, industrial transport equipment, machinery and mechanical appliances and fertilizers.

Import of white petroleum products, which accounted for 22.2 per cent of the total goods import bill, edged up by 39.1 per cent to 3,243.4 million US dollars reflecting a cumulative impact of higher prices in the world market.

On monthly basis, goods worth 1,294.5 million US dollars were imported in May this year higher than 939.3 million US dollars in May last year.

Services payments also rose to 2,660.8 million US dollars from 1,924.8 million US dollars largely driven by freight payments consistent with the higher import bill.

Daily News
 
Kwani hatuzalishi bidhaa za kuuza Nje? Kwani hatuna Utalii? Shida ni kwamba uzalishaji Bado sio mkubwa na pia bei ya bidhaa tunazoagiza Nje nyingine zimepanda sana
Soma hapa alafu soma zile paragraph zangu mbili za mwisho nimeeleza kuhusu mbolea na mafuta ya dizeli na petoli bila kuisahau mbolea. Na nimewaonyesha na solution lakini kwakua mnapenda kufanya shopping hamwezi kuelewa juu ya kujitegemea.

Hizo bidhaa mbili zinaagizwa na serikali hizo zingine zinauzwa nje ni za watu binafsi.
According to the Bank of Tanzania (BoT) monthly economic review for June, the increase was mainly driven by imports of white petroleum products, industrial transport equipment, machinery and mechanical appliances and fertilizers.

Import of white petroleum products, which accounted for 22.2 per cent of the total goods import bill, edged up by 39.1 per cent to 3,243.4 million US dollars reflecting a cumulative impact of higher prices in the world market.
 
Soma hapa alafu soma zile paragraph zangu mbili za mwisho nimeeleza kuhusu mbolea na mafuta ya dizeli na petoli bila kuisahau mbolea...
Uzalishe mafuta ya petrol na diesel Kwa kutumia gas? 😂😂😂😂 Cha Arusha hiki.sio Bure maana ndivyo umeandika hapo kwenye maelezo Yako
 
Ngoja nimuulize Zembwela na Mrisho Mpoto wao ndio wanajua haya mambo ya uchumi
 
Uzalishe mafuta ya petrol na diesel Kwa kutumia gas? 😂😂😂😂 Cha Arusha hiki.sio Bure maana ndivyo umeandika hapo kwenye maelezo Yako
Ndio ni jambo jepesi sana kuibadili gesi asilia kuwa mafuta.
Kuibadili gesi asili (natural gas) kuwa mafuta ya petroli na dizeli kwa kawaida hufanyika kupitia mchakato wa utengenezaji wa mafuta kwa kutumia teknolojia ya sintetiki au kubadilisha hali ya kemikali ya molekuli za gesi asili (methane).

Kuna mbinu kuu mbili zinazotumiwa
  1. Kukibadilisha gesi asilia kwa njia ya Fischer-Tropsch (Fischer-Tropsch synthesis): Fischer-Tropsch ni mbinu ya kubadilisha gesi asilia kuwa gesi ya haidrojeni na kaboni monoksidi, ambazo zinapatikana kutoka kwa gesi asilia (Methane-CH4), kuwa mafuta ya petroli na dizeli. Mchakato huu unatumia kichocheo (catalyst) ili kuunganisha molekuli za haidrojeni na kaboni monoksidi kuunda mafuta yanayofanana na petroli na dizeli.
  2. Kukibadilisha kwa njia ya mchakato wa reforming: Mchakato wa reforming hutumia joto na shinikizo ili kubadilisha gesi asilia (methane-CH4) kuwa molekuli nyingine za hidrokarboni, ambazo zinaweza kutumiwa kama mafuta ya petroli na dizeli. Mchakato huu pia unahitaji kichocheo maalum na utaalamu wa kisayansi ili kufanikisha utengenezaji wa mafuta na dizeli yanayotokana na gesi asilia.
1691173851989.png

Kielelezo: Mafuta ya ndege na dizeli kutokana na gesi asilia.

1691174106941.png

Kielelezo: Mafuta ya dizeli na gasoline (petroli) kutokana na gesi asilia.
 
Ndio ni jambo jepesi sana kuibadili gesi asilia kuwa mafuta.
Kuibadili gesi asili (natural gas) kuwa mafuta ya petroli na dizeli kwa kawaida hufanyika kupitia mchakato wa utengenezaji wa mafuta kwa kutumia teknolojia ya sintetiki au kubadilisha hali ya kemikali ya molekuli za gesi asili (methane)...
Ingekuwa rahisi hivyo basi Nchi Zenye gas zote zingekuwa zinafanya hivyo
 
View attachment 2708529

Mimi binafsi sina hakika kama dollar ni tatizo la dunia nzima.​


Kwamba tukilima mahindi mengi tukauza nchi za nje hatuwezi pata hizo dollar?
Kwamba tukilima kahawa kwa wingi tukauza nje ya nchi hatuwezi pata hizo dollar?
Kwamba tukilima korosho kwa wingi tukauza nje ya nchi hatuwezi pata hizo dollar?
Tukilima mchele mtamu kwa wingi hatuwezi kupata hizo dollar?
Kwamba tukiamua kuacha kununua vitu visivyo vya lazima nje ya nchi hatuweza kuwa na dollar za kutosha kwenye benki zetu?
Kwamba tukiamua kuzalisha umeme, madini na gesi kwa wingi na kuuza nje ya nchi hatuwezi kupata hizo dollar?
Kwamba tukiamua kuanza kuzalisha mafuta ya petroli na dizeli hapa nchini kwa kutumia gesi asilia yetu na kupunguza kuagiza nchi za nje hatutakuwa tunabakiwa na dollar za kutosha?
Kwamba tukiamua kuanza kuzalisha mbolea na madawa ya kilimo kwa kutumia gesi yetu asilia kupunguza kuagiza nchi za nje hatutakuwa tunabakiwa na dollar za kutosha?


Calculating the Balance of Trade​

A country's balance of trade is calculated by the following formula:


BOT=Exports−ImportsBOT=Exports−Imports

Example of How to Calculate the BOT​

Here's an example of how to calculate the balance of trade:

Let's say that a country's exports of goods in a given year are worth $100 million, and its imports of goods are worth $80 million. To calculate the balance of trade, you would subtract the value of the imports from the value of the exports:

Balance of trade = Exports - Imports
= $100 million - $80 million
= $20 million
Stock ya Dhahabu yetu iongezwe,

Pia mauzo ya Dhahabu nje Kwa makampuni yetu ya ndani ya ongezeni Balance of trade.
 
Kweli mkuu
Viongozi wetu wapo na uchizi wa Western and Asian fashion hivi kweli hii nchi niya kuagiza furnitures, mavazi na building materials kutoka nje kweli.
 
Back
Top Bottom