rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Ukifatilia post nyingi za washabiki wa Yanga wakisaidiwa na waandishi wao wenye mahaba wamekuwa wakiilaumu Simba kwa kuua vipaji vya wachezaji, wameisema sana Simba kwa kitendo cha kumdajili Ajibu wakati alikuwa anatakiwa na TP Mazembe lakini wanasahau walikataa kumruhusu Jerry There kucheza Sweden ili acheze mechi ya Simba na Yanga.
Ngasa akiwa Simba kwa mkopo alipata nafasi ya kucheza El Mereikh ya Sudan lakini wakamrubuni akajiunga nao leo tunaona anavyolalamika chambua ameeleza jinsi alivyoshindwa kucheza soka ya kulipwa Afrika Kusini baada ya viongozi wake kumbania Chuji ameongea juzi na kueleza Yanga walivyombania asijiunge na TP Mazembe waache kuwaongelea Simba kwa mifano michache wanaonyesha jinsi gani wanavyowabania wachezaji wao.
Ngasa akiwa Simba kwa mkopo alipata nafasi ya kucheza El Mereikh ya Sudan lakini wakamrubuni akajiunga nao leo tunaona anavyolalamika chambua ameeleza jinsi alivyoshindwa kucheza soka ya kulipwa Afrika Kusini baada ya viongozi wake kumbania Chuji ameongea juzi na kueleza Yanga walivyombania asijiunge na TP Mazembe waache kuwaongelea Simba kwa mifano michache wanaonyesha jinsi gani wanavyowabania wachezaji wao.