Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
Samahani, mimi leo nimeamka nikapigiwa simu na mdogo angu akanambia kuwa mama yetu aliota usiku wa kuamkia leo kuhusu mimi, kuwa nilikuwa niko porini, alafu watu wananisemesha ila mimi siwasikii. NDOTO HIYO.
Baadae saa 11 jioni, nilikuwa chumbani peke angu alafu mlango nilikuwa nimeuegesha ila gafla nikasikia sauti inaniita kama mara mbili ivi, kupitia pale mlangoni wa chumba changu, nikatoka kwa woga kufata sauti inapotoka sioni kitu, kisha nikatoka kwenda kuongea na mama kwenye simu kumuuliza ile ndoto, akanielezea kuwa , jana mida ya saa tano usiku alijihisi mguu unamuuma, akachukua dawa akajichua ,kidogo akapitiwa usingizi gafla akaanza kuota ndoto, kuwa akiniona niko porini alafu, yeye akiwa na baadhi ya watu wananiita ila mimi nikageuka nikacheka kisha sikuwajibu kitu nikaenda zangu, pembeni katika kakibanda kadogo nikaingia , ila wenyewe wakanifata na kuniita nitoke nikakaa kimya.
Mama mwenyewe akanijia mule bandani akanibeba na kunikalisha, hapo mama akashituka ndoto ikaishia hapo, ila pia palipo kucha mguu ulimuuma tena akauchua mpka sasa hasikii maumivu tena. Sasa mtumishi nahisi nimeingia katika vita ya kiroho mimi na mama yangu , nahisi tunachezewa, ila sijajua na watu wapi wanaofanya ivyo, nimeenda kwa watafusiri mbali mbali , mmoja kaniambia ni masuala ya mizimu, mwingine kanambia kuna namna nafanyiwa na watu wa karibu, naombeni wajuzi wa mambo mnipe ushauri🙏.
Baadae saa 11 jioni, nilikuwa chumbani peke angu alafu mlango nilikuwa nimeuegesha ila gafla nikasikia sauti inaniita kama mara mbili ivi, kupitia pale mlangoni wa chumba changu, nikatoka kwa woga kufata sauti inapotoka sioni kitu, kisha nikatoka kwenda kuongea na mama kwenye simu kumuuliza ile ndoto, akanielezea kuwa , jana mida ya saa tano usiku alijihisi mguu unamuuma, akachukua dawa akajichua ,kidogo akapitiwa usingizi gafla akaanza kuota ndoto, kuwa akiniona niko porini alafu, yeye akiwa na baadhi ya watu wananiita ila mimi nikageuka nikacheka kisha sikuwajibu kitu nikaenda zangu, pembeni katika kakibanda kadogo nikaingia , ila wenyewe wakanifata na kuniita nitoke nikakaa kimya.
Mama mwenyewe akanijia mule bandani akanibeba na kunikalisha, hapo mama akashituka ndoto ikaishia hapo, ila pia palipo kucha mguu ulimuuma tena akauchua mpka sasa hasikii maumivu tena. Sasa mtumishi nahisi nimeingia katika vita ya kiroho mimi na mama yangu , nahisi tunachezewa, ila sijajua na watu wapi wanaofanya ivyo, nimeenda kwa watafusiri mbali mbali , mmoja kaniambia ni masuala ya mizimu, mwingine kanambia kuna namna nafanyiwa na watu wa karibu, naombeni wajuzi wa mambo mnipe ushauri🙏.