mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
Wakuu Salaam sana!
Nimejaribu kufuatilia hotuba ( mara tatu) ya mwenyekiti wa CHADEMA, ndg FAM wakati akitangaza nia yake ya kugombea tena katika nafasi ya uenyekiti CHADEMA TAIFA , lakini hakuelezea ni hoja zipi zimemsukuma agombee tena nafasi hiya zaidi ya kutoa historia alikokitoa chama , fedha alizotumia na jinsi chama kilivyomuumiza kwa kulekea kufilisiwa Mali zake na mambo kama hayo.
Kinachonishangaza zaidi ni kuwa hata wanaomuunga mkono hawaziweki hoja zake, kuzichanganua na kuziuza kwa wajumbe zaidi ya kusema TAL ni muhaini , mropokaji , hawezi tunza siri za chama na mambo kama hayo, huku wakijisahaulisha kuwa TAL kaweka hoja zake zilizomsukuma kugombea nafasi hiyo ikiwemo kukomesha rushwa ndani ya chama, ukomo wa madara ya uwenyekiti na viti maalumu ili kutoa fursa kwa mawazo mapya, ruzuku kuwafikia wajumbe ngazi ya shina.nk
Je, kilichomsukuma m/kiti aliyekaa madarakani zaidi ya miongo miwili kugombea tena kipindi kijacho nini?
Wadau, kuna anayejua hoja/vipaumbele alizo/alivyo ainisha m/kiti FAM tuzitafakali ili wajumbe wajue upande wao wa kupiga kura na sio uchawa?
Nimejaribu kufuatilia hotuba ( mara tatu) ya mwenyekiti wa CHADEMA, ndg FAM wakati akitangaza nia yake ya kugombea tena katika nafasi ya uenyekiti CHADEMA TAIFA , lakini hakuelezea ni hoja zipi zimemsukuma agombee tena nafasi hiya zaidi ya kutoa historia alikokitoa chama , fedha alizotumia na jinsi chama kilivyomuumiza kwa kulekea kufilisiwa Mali zake na mambo kama hayo.
Kinachonishangaza zaidi ni kuwa hata wanaomuunga mkono hawaziweki hoja zake, kuzichanganua na kuziuza kwa wajumbe zaidi ya kusema TAL ni muhaini , mropokaji , hawezi tunza siri za chama na mambo kama hayo, huku wakijisahaulisha kuwa TAL kaweka hoja zake zilizomsukuma kugombea nafasi hiyo ikiwemo kukomesha rushwa ndani ya chama, ukomo wa madara ya uwenyekiti na viti maalumu ili kutoa fursa kwa mawazo mapya, ruzuku kuwafikia wajumbe ngazi ya shina.nk
Je, kilichomsukuma m/kiti aliyekaa madarakani zaidi ya miongo miwili kugombea tena kipindi kijacho nini?
Wadau, kuna anayejua hoja/vipaumbele alizo/alivyo ainisha m/kiti FAM tuzitafakali ili wajumbe wajue upande wao wa kupiga kura na sio uchawa?