Anayezijua hoja za Mbowe zilizompelekea kugombea tena nafasi ya uwenyekiti wa chama aziweke hapa tuzijue

Anayezijua hoja za Mbowe zilizompelekea kugombea tena nafasi ya uwenyekiti wa chama aziweke hapa tuzijue

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
Wakuu Salaam sana!

Nimejaribu kufuatilia hotuba ( mara tatu) ya mwenyekiti wa CHADEMA, ndg FAM wakati akitangaza nia yake ya kugombea tena katika nafasi ya uenyekiti CHADEMA TAIFA , lakini hakuelezea ni hoja zipi zimemsukuma agombee tena nafasi hiya zaidi ya kutoa historia alikokitoa chama , fedha alizotumia na jinsi chama kilivyomuumiza kwa kulekea kufilisiwa Mali zake na mambo kama hayo.

Kinachonishangaza zaidi ni kuwa hata wanaomuunga mkono hawaziweki hoja zake, kuzichanganua na kuziuza kwa wajumbe zaidi ya kusema TAL ni muhaini , mropokaji , hawezi tunza siri za chama na mambo kama hayo, huku wakijisahaulisha kuwa TAL kaweka hoja zake zilizomsukuma kugombea nafasi hiyo ikiwemo kukomesha rushwa ndani ya chama, ukomo wa madara ya uwenyekiti na viti maalumu ili kutoa fursa kwa mawazo mapya, ruzuku kuwafikia wajumbe ngazi ya shina.nk

Je, kilichomsukuma m/kiti aliyekaa madarakani zaidi ya miongo miwili kugombea tena kipindi kijacho nini?

Wadau, kuna anayejua hoja/vipaumbele alizo/alivyo ainisha m/kiti FAM tuzitafakali ili wajumbe wajue upande wao wa kupiga kura na sio uchawa?
 
Sera yake ni;
1.Kutaka aiache Chadema salama. Unajiuliza kwani haiko salama chini ya nani?
2. Afikishe miaka 68 kama watangulizi wake. Hoja ya kipuuzi kabisa

Lakini Lissu kaweka mkeka wa hoja, ukiusoma unabaki kuangalia mawinguni labda utamuona Lissu
 
Anahitajika sana kwenye siasa za vyama vingi hapa nchini. Huwezi ukakiacha chama mikononi mwa wanaharakati ambao hawatambui mchango wa maridhiano na siasa za maelewano. Lissu na wanachama wengine wanapenda sana nguvu badala ya makubaliano. Sasa hapo unaweza kweli kuachia ngazi ili tu ufurahishe haohao wanaobeza juhudi zako?
 
Wakuu Salaam sana!

Nimejaribu kufuatilia hotuba ( mara tatu) ya mwenyekiti wa CHADEMA, ndg FAM wakati akitangaza nia yake ya kugombea tena katika nafasi ya uenyekiti CHADEMA TAIFA , lakini hakuelezea ni hoja zipi zimemsukuma agombee tena nafasi hiya zaidi ya kutoa historia alikokitoa chama , fedha alizotumia na jinsi chama kilivyomuumiza kwa kulekea kufilisiwa Mali zake na mambo kama hayo.

Kinachonishangaza zaidi ni kuwa hata wanaomuunga mkono hawaziweki hoja zake, kuzichanganua na kuziuza kwa wajumbe zaidi ya kusema TAL ni muhaini , mropokaji , hawezi tunza siri za chama na mambo kama hayo, huku wakijisahaulisha kuwa TAL kaweka hoja zake zilizomsukuma kugombea nafasi hiyo ikiwemo kukomesha rushwa ndani ya chama, ukomo wa madara ya uwenyekiti na viti maalumu ili kutoa fursa kwa mawazo mapya, ruzuku kuwafikia wajumbe ngazi ya shina.nk

Je, kilichomsukuma m/kiti aliyekaa madarakani zaidi ya miongo miwili kugombea tena kipindi kijacho nini?

Wadau, kuna anayejua hoja/vipaumbele alizo/alivyo ainisha m/kiti FAM tuzitafakali ili wajumbe wajue upande wao wa kupiga kura na sio uchawa?
Amelemaa, ubunifu umeisha, mnataka akale wapi? Ukizoea kulambishwa asali kamwe huwezi kuchonga mzinga
 
Hoja zake ni:
1. Chama hakiko salama hivyo hawezi kukiacha. Ukimuuliza, hakiko salama kwenye mikono ya nani? Hakuna jibu?

2. Wenyeviti waliomtangulia , waliachia kiti wakiwa na miaka 68. Yeye bado miaka 5 afikishe umri huo.

3. Yeye sio mbangaizaji. Hawezi kukiacha chama kwa wa Wabangaizaji kama muuza Bamia wa Mbutu.

Hizo ndizo hoja kuu za mh.
 
Sera yake ni;
1.Kutaka aiache Chadema salama. Unajiuliza kwani haiko salama chini ya nani?
2. Afikishe miaka 68 kama watangulizi wake. Hoja ya kipuuzi kabisa

Lakini Lissu kaweka mkeka wa hoja, ukiusoma unabaki kuangalia mawinguni labda utamuona Lissu
Kifupi hata kitoto kichanga ukikiambia nitajie hoja iliyotajwa hapo na mwanasiasa mkongwe kitakwambia Hakuna hoja kabisa .
 
Hoja zake ni:
1. Chama hakiko salama hivyo hawezi kukiacha. Ukimuuliza, hakiko salama kwenye mikono ya nani? Hakuna jibu?

2. Wenyeviti waliomtangulia , waliachia kiti wakiwa na miaka 68. Yeye bado miaka 5 afikishe umri huo.

3. Yeye sio mbangaizaji. Hawezi kukiacha chama kwa wa Wabangaizaji kama muuza Bamia wa Mbutu.

Hizo ndizo hoja kuu za mh.
Mkuu, hapa hata wale wanaomuunga mkono unashindwa kuelewa wana nia ya dhati katika kumuunga mkono au ni unafiki ili wazidi kunufaika nae, kwa hoja hizi hata mgonjwa wa milembe akisikia anajua mwamba ( kama wanavyomnasibu) hamna kila kitu, anyway pengine ukimya wake unaashiria kujenga hoja zaidi, let's us wait and see
 
Hoja zake ni:
1. Chama hakiko salama hivyo hawezi kukiacha. Ukimuuliza, hakiko salama kwenye mikono ya nani? Hakuna jibu?

2. Wenyeviti waliomtangulia , waliachia kiti wakiwa na miaka 68. Yeye bado miaka 5 afikishe umri huo.

3. Yeye sio mbangaizaji. Hawezi kukiacha chama kwa wa Wabangaizaji kama muuza Bamia wa Mbutu.

Hizo ndizo hoja kuu za mh.
Chama hakipo salama kwenye mikono yake mwenyewe 😂 uzuri anajua kuwa yeye ndio mhusika wa kutokuwa salama
 
Kwa mujibu wa huyo mnywa konyagi n kwamba kwa sasa hakuna mtu sahihi kuwa mwenyekiti mpaka pale atakapostaafu, kwa maana ya kuwa n mpaka akifikisha miaka 68 ndo mtu sahihi atapatikana.
 
Wakuu Salaam sana!

Nimejaribu kufuatilia hotuba ( mara tatu) ya mwenyekiti wa CHADEMA, ndg FAM wakati akitangaza nia yake ya kugombea tena katika nafasi ya uenyekiti CHADEMA TAIFA , lakini hakuelezea ni hoja zipi zimemsukuma agombee tena nafasi hiya zaidi ya kutoa historia alikokitoa chama , fedha alizotumia na jinsi chama kilivyomuumiza kwa kulekea kufilisiwa Mali zake na mambo kama hayo.

Kinachonishangaza zaidi ni kuwa hata wanaomuunga mkono hawaziweki hoja zake, kuzichanganua na kuziuza kwa wajumbe zaidi ya kusema TAL ni muhaini , mropokaji , hawezi tunza siri za chama na mambo kama hayo, huku wakijisahaulisha kuwa TAL kaweka hoja zake zilizomsukuma kugombea nafasi hiyo ikiwemo kukomesha rushwa ndani ya chama, ukomo wa madara ya uwenyekiti na viti maalumu ili kutoa fursa kwa mawazo mapya, ruzuku kuwafikia wajumbe ngazi ya shina.nk

Je, kilichomsukuma m/kiti aliyekaa madarakani zaidi ya miongo miwili kugombea tena kipindi kijacho nini?

Wadau, kuna anayejua hoja/vipaumbele alizo/alivyo ainisha m/kiti FAM tuzitafakali ili wajumbe wajue upande wao wa kupiga kura na sio uchawa?
Hoja na sera subiri kampeni, ... mbona una 'lukuli' sana jombaa!?
🤣
 
Lissu kwa kuwa anapenda uenyekiti basi agombee na awe tayari kushindwa. Lissu hajui siasa.
Mkuu, tunachozungumzia hapa sio kushindwa, isipokuwa hoja za Mbowe zilizompelekea agombee tena ni zipi?
In fact, kuna % kubwa ya TAL kupigwa chini kwenye uchaguzi na kumvua uanachama, kwa nini? Ni wazi kabisa kuwa mbali na FAM kutokuwa na hoja za mashiko zinazouzika kwa wajumbe , amezungukwa na chawa ambao ni wanufaika wa moja kwa moja ambao kimsingi ni wengi wa wajumbe wanaruhusiwa kupiga kura kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, Lakini ukiondoa uchawa na unufaika ukafuata hoja za wagombe , haki na uwazi wakati wa kupiga kura, Binafsi naona utawala wa FAM umeishia hapo
 
Agenda kuu ya Mbowe hii hapa. Hata kama ni wewe ungekubali kuachia madaraka? 😄

IMG-20241226-WA0013.jpg
 
Wakuu Salaam sana!

Nimejaribu kufuatilia hotuba ( mara tatu) ya mwenyekiti wa CHADEMA, ndg FAM wakati akitangaza nia yake ya kugombea tena katika nafasi ya uenyekiti CHADEMA TAIFA , lakini hakuelezea ni hoja zipi zimemsukuma agombee tena nafasi hiya zaidi ya kutoa historia alikokitoa chama , fedha alizotumia na jinsi chama kilivyomuumiza kwa kulekea kufilisiwa Mali zake na mambo kama hayo.

Kinachonishangaza zaidi ni kuwa hata wanaomuunga mkono hawaziweki hoja zake, kuzichanganua na kuziuza kwa wajumbe zaidi ya kusema TAL ni muhaini , mropokaji , hawezi tunza siri za chama na mambo kama hayo, huku wakijisahaulisha kuwa TAL kaweka hoja zake zilizomsukuma kugombea nafasi hiyo ikiwemo kukomesha rushwa ndani ya chama, ukomo wa madara ya uwenyekiti na viti maalumu ili kutoa fursa kwa mawazo mapya, ruzuku kuwafikia wajumbe ngazi ya shina.nk

Je, kilichomsukuma m/kiti aliyekaa madarakani zaidi ya miongo miwili kugombea tena kipindi kijacho nini?

Wadau, kuna anayejua hoja/vipaumbele alizo/alivyo ainisha m/kiti FAM tuzitafakali ili wajumbe wajue upande wao wa kupiga kura na sio uchawa?
Yule katumwa na system
 
Kwa mujibu wa huyo mnywa konyagi n kwamba kwa sasa hakuna mtu sahihi kuwa mwenyekiti mpaka pale atakapostaafu, kwa maana ya kuwa n mpaka akifikisha miaka 68 ndo mtu sahihi atapatikana.
Yes! Unajuliza akifa Leo CHADEMA haitasonga? Hapa anatiliia mashaka juu ya matukio yaliyowakumba waliojaribu kutia nia ya kukitaka kiti cha enzi cha beast
 
kwanini munateseka na Mbowe kugombea? munataka democracy lakini hamtaki democracy
 
Back
Top Bottom