Anayosema Kigwangalla kuhusu uaminifu wa Watanzania kuna tatizo?

Anayosema Kigwangalla kuhusu uaminifu wa Watanzania kuna tatizo?

Dogo fala sana, kwa namna alivyoaminiwa na jamaa angekuwa tajiri mkubwa sana leo. Akaleta ukengeufu.

Ila nae kigwa alifeli sana kufanya recruitment ya mtu kumsaidia kusimamia shughuli za shamba. Uzoefu wake kama kiongozi haukuwa na tija kabisa.

Ila afahamu kuvunjika kwa mpini sio mwisho kulima. Mashamba yapo arejee tuendeleze kilimo.
Bado analima mbona

Badae alikuja kumuweka mdogo wake wa kike nae akampiga tena

Lakini mbona masanja anasimamia mdogo wake wa kike na anasimamia vizuri tu
 
Huu ndio ukweli kabisa kwa 80% ya vijawana.
Kuna kisa kimoja kuhusu mm na kijana alie kuja na mikono mitupu na mikono nyuma. Akitaka tufanye jambo. Ila nimapema ngoja niokoe baadhi ya PESA na mali.
 
Kiki hii, kiki hii, kiki hii...
Ni njia tu ya yeye kuonekana tena...
Mtu mmoja au wawili hawezi kufanya vijana watanzania wote waonekane sio waaminifu...
 
Pole mkuu ila apo kwenye MAADILI kwa nchi hii Kila sehemu tatizo labda tufe wote wazaliwe wapya tuanze 1
Hahahahahaha! Kufa wote KWa mkupuo ni ngumu... Labda KWa wale walio jitambua wapandikize hiyo kitu KWa kizazi kipya kinacho zaliwa SAsa... Wakikuwa na wao watapandikiza KWa watoto wao, kwahiyo mnyororo utatembea kizazi na kizazi......
 
Kiki hii, kiki hii, kiki hii...
Ni njia tu ya yeye kuonekana tena...
Mtu mmoja au wawili hawezi kufanya vijana watanzania wote waonekane sio waaminifu...
Donatila inawezekana anataka huonekana lakini nikupe mifano. Alipokuwa anafungua Chuo cha Utalii DSM-JMK alilalamikia jambo hili. Mkapa ndio ulikuwa usiseme. JPM aliiizungumza na Rais Samia amelizungumza mara kadhaa. Ukosefu wa uadilifu kwa watu wetu. 2015 nilifanya utafiti pale New Afrika nikitoa matokeo, Juma Mwapachu aliuliza vijana 200 hivi wangapi wanapenda waajiriwe kwa utanzania 99% wakainua mukono alipouliza wangapi wanapenda kigezo cha ajira kiwe uadilifu na uwezo binafsi kama 4 au 5 tu. Tatizo lipo ila tunalificha-hatuliongelei kwa kuwa ni tatizo la kijamiii-siasa zetu haziruhusu tujitizame na kuambizana ukweli huu mchungu
 
tunaposikia na kuona CAG anaainisha utepetevu, tunapolalamikia walimu, watendaji serikalini, huduma za afya na kote huko walioko ni watanzania , hatuoni kwamba uzawa sio uzalendo. Na kwa maana hiyo kuendelea kuaminishishwa kwamba kuweka watanzania kwenye nafasi zote kisa ni watanzania nacho ni sehemu ka kuendeleza uozo. Tumia mfano wa mitandao ya simu. Vodacom Tanzania ilianza kabla ya Safaricom ya Kenya. Iweje Safaricom faid yake inazidi ya vodaom mara mbili au zaidi. Ni swala la utendaji uliotukuka. Leo nna wiki 2 nimepeleka email voda na Tigo hamna jibu
Safaricom vs vodacom. , Safaricom ni leader kwa kenya hakika. But tatizo ni moja, for very long time amekuwa monopoly anamiliki over 90% of market share ktk telecom tofauti na tanzania kuna voda,tigo,airtel,halotel,smart etc ambao marketshare ni wamegawana
 
Safaricom vs vodacom. , Safaricom ni leader kwa kenya hakika. But tatizo ni moja, for very long time amekuwa monopoly anamiliki over 90% of market share ktk telecom tofauti na tanzania kuna voda,tigo,airtel,halotel,smart etc ambao marketshare ni wamegawana
Kenya wanazo Safaricom, Telkom, Airtel, Equitel, Jamii Telcoms. Safaricom kui-control market ni market forces ambayo sio tofauti na Vodacom au Tigo mojawapo ku control soko kwa kutoa huduma bora na si vinginevyo. Hoja yangu Safaricom wametoa huduma bora-ikiwemo kununua huduma ya gesi iligundulika na mtanzania Andron Mendez. Hoja hatujitumi,Ubunifu wetu unatawaliwa na wewe nani-au hukumsikia waziri wa fedha akisema hilo ni sababu kubwa ya uwekezaji kukwama tanzania?
 
Nikahisi kuwa na hatia kwa kuendelea kumdekeza wakati Serikali imeajiri vyombo vyenye vijana wasomi waliosomeshwa hadi shahada juu ya kurekebisha tabia za watu. Nikampeleka gerezani. Mapolisi, mahakimu, maafisa magereza walinipongeza sana, walisema, Bongo tungekuwa na wazazi kama wewe tungetengeneza kizazi cha vijana kilicho bora bora kabisa. Kijana alifundishwa adabu kule. Watu wamesomea mambo haya bwana
Hahahahaaah!

Ukaamua kutumia vema mifumo ya nchi. Yas ndo maana kuna dogo langu liliniambiaga "Bro hakikisha unaujua ubaya pia vizuri maana kuna siku utahitaji kuutumia"

Zipo familia zinaamini jela ni mbaya tu, na zitafanya kila jitihada ndugu zao watoke huko hata kama wamepelekwa kwa kosa la kujaribu kubaka mwanafamilia. Utasema hawana uhakika? Akati labda wana ushahidi wa kijana wao kubaka dada wa kazi.

Haki huinua Taifa
 
Huyo dogo aliemliza kigwangala aka kigwafix anaitwa

TOMMY
Ukipita usangu mbarali wanamjua sana
Alikuwa anatembelea nissan patrol
Anapiga bata za hatari
Tumewahi zinguana pale DS makambako
Afu anajifanya mdg ake kigwangala

Alikuwa anaonea wanyonge sana
Mara apore mademu zao
Ila sisi tulimkokesha

Sijui kwa sasa kapotea wapi

Oyaa, Tommy km unasoma huu Uzi
Wambie wadau kilichokukuta pale DS hotel mpk ukakimbia ukaacha gari

Dadeeki
Mlimla milima miwili?
 
Back
Top Bottom