IRAQW MINING
Member
- Apr 18, 2011
- 86
- 6
Sio mambo ya kiswahili hayo?
Inawezekana, ila ampeleke hospitali kumuona daktariunamaanisha kuna mkono wa mtu au?
Dah! We ni mjukuu wa Shehe Yahya?huyo binti lazima ana jini chakubanga, hebu mpeleke baharini akapige kikombe cha maji chumvi, utaona kama atazimia tena.