Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 14,809
- 11,825
Sasa Wasomi wetu nao ni Villaza? Tuna Maprofesa uchwara nadhani hawajui nchi yao zao ni siasa tu... ni aibu kubwa sana... wao zao ni kuhakiki tu wenzao akili zao wamezikalia... hadi waje wa wasomi wa Nje...
Kweli Elimu yetu ni bure tu... najisiakia faraja kuwadharau wasomi wa Tanzania haswa Maprofesa uchwara
Kweli Elimu yetu ni bure tu... najisiakia faraja kuwadharau wasomi wa Tanzania haswa Maprofesa uchwara