aaaaaaaaaah!nimejaribu haya mapishi nimeishia kuunguza sufuria yangu!!!yaani hapa nafikiria namna ya kuanza kuisugua!!ila chakula kiko bomba!!!Nashukuru Kama upo arusha, nenda Rushda supermarket, au shoprite,.. maeneo mengine kwakweil mi mgeni
aaaaaaaaaah!nimejaribu haya mapishi nimeishia kuunguza sufuria yangu!!!yaani hapa nafikiria namna ya kuanza kuisugua!!ila chakula kiko bomba!!!
...asante..mie ugali yai, kwa muda mfupi kabisa "mgeni" anakula.