Andambwile amrithi Aziz Ki Yanga

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426


Taarifa kutoka Club ya soka ya Yanga inaeleza kwamba, timu hiyo imemsajili Aziz Andambwile ili kumrithi Aziz Ki, anayetajwa kuondoka baada ya mkataba wake kumalizika na huku Yanga ikishindwa masharti ya mkataba mpya, kutokana na umasikini.

Tumtakia kila la heri Aziz huyu mpya anayeingia kukipiga yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…