Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Mangungu alikuwa mbunge lakini sasa ni kiongozi wa simba, vivyo hivyo Aden Rage, kwanini mimi mnanipangia majukwaa?Naunga mkono hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mangungu alikuwa mbunge lakini sasa ni kiongozi wa simba, vivyo hivyo Aden Rage, kwanini mimi mnanipangia majukwaa?Naunga mkono hoja
Sasa mbona unashabikia hiyo timu Mkuu na unajua hawana account acha siasa huku sio jukwaa la siasaBilion 20 za MO ziliwekwa kwenye akaunti ipi? uliwahi kuona viongozi wakionyesha akaunti ya Timu, tumebishana miaka mingapi?
Tatizo hauna hoja nani kakupangia jukwaa Mkuu 😂😁Mangungu alikuwa mbunge lakini sasa ni kiongozi wa simba, vivyo hivyo Aden Rage, kwanini mimi mnanipangia majukwaa?
Bavicha!!!View attachment 3037549
Taarifa kutoka Club ya soka ya Yanga inaeleza kwamba, timu hiyo imemsajili Aziz Andambwile ili kumrithi Aziz Ki, anayetajwa kuondoka baada ya mkataba wake kumalizika na huku Yanga ikishindwa masharti ya mkataba mpya, kutokana na umasikini.
Tumtakia kila la heri Aziz huyu mpya anayeingia kukipiga yanga.
Kwamba Aziz Ki kasaini yanga?Tatizo hauna hoja nani kakupangia jukwaa Mkuu 😂😁
Nitaleta mageuzi SimbaSasa mbona unashabikia hiyo timu Mkuu na unajua hawana account acha siasa huku sio jukwaa la siasa
Mageuzi yapi ya kupigwa 7 na kuishia nafasi ya 3😁😂Nitaleta mageuzi Simba
Achana na azizi now habari ni Toyota asaiviKwamba Aziz Ki kasaini yanga?
Aisee....View attachment 3037549
Taarifa kutoka Club ya soka ya Yanga inaeleza kwamba, timu hiyo imemsajili Aziz Andambwile ili kumrithi Aziz Ki, anayetajwa kuondoka baada ya mkataba wake kumalizika na huku Yanga ikishindwa masharti ya mkataba mpya, kutokana na umasikini.
Tumtakia kila la heri Aziz huyu mpya anayeingia kukipiga yanga.
Kwaiyo nafasi anayocheza Aziz ki ndiyo anayocheza andambwile mpaka awe mrithi wake?View attachment 3037549
Taarifa kutoka Club ya soka ya Yanga inaeleza kwamba, timu hiyo imemsajili Aziz Andambwile ili kumrithi Aziz Ki, anayetajwa kuondoka baada ya mkataba wake kumalizika na huku Yanga ikishindwa masharti ya mkataba mpya, kutokana na umasikini.
Tumtakia kila la heri Aziz huyu mpya anayeingia kukipiga yanga.
Vumilieni si mnataka FURAHA😁Uko sahihi. Jamaa mjanja mjanja Sana. Anatafuta pa kupigia hela. Baadae atakuja aseme ilikuwa kazi ngumu kumbakisha Ki. Tumetumia zaidi ya 1b kumbakisha kumbe ni 300ml.
Kwahiyo atatoka Aziz ameingia Aziz..hamna kesi hapo.
Yangoswe mwachie yangoswe yayanga tuwachie wenyewe kipelesiochako unajikunaniniMangungu alikuwa mbunge lakini sasa ni kiongozi wa simba, vivyo hivyo Aden Rage, kwanini mimi mnanipangia majukwaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uko sahihi. Jamaa mjanja mjanja Sana. Anatafuta pa kupigia hela. Baadae atakuja aseme ilikuwa kazi ngumu kumbakisha Ki. Tumetumia zaidi ya 1b kumbakisha kumbe ni 300ml.
Eng Hersi ni shemeji wa GSM, labda hulijui hilo ndio unaweza kuwaza huu ujinga.Uko sahihi. Jamaa mjanja mjanja Sana. Anatafuta pa kupigia hela. Baadae atakuja aseme ilikuwa kazi ngumu kumbakisha Ki. Tumetumia zaidi ya 1b kumbakisha kumbe ni 300ml.
Hao uliowataja wote ni watoto wa mjini, wewe huku unapuyanga tu labda kwenye jukwaa la kilimo ukatupe fursa za Ubaruku.Mangungu alikuwa mbunge lakini sasa ni kiongozi wa simba, vivyo hivyo Aden Rage, kwanini mimi mnanipangia majukwaa?
GaUdence Mwaikimba n Godwin Aswile wale nao ni watoto wa mjini?Hao uliowataja wote ni watoto wa mjini, wewe huku unapuyanga tu labda kwenye jukwaa la kilimo ukatupe fursa za Ubaruku.