Andambwile amrithi Aziz Ki Yanga

Bavicha!!!
 
Aisee....
 
Kwaiyo nafasi anayocheza Aziz ki ndiyo anayocheza andambwile mpaka awe mrithi wake?
 
Uko sahihi. Jamaa mjanja mjanja Sana. Anatafuta pa kupigia hela. Baadae atakuja aseme ilikuwa kazi ngumu kumbakisha Ki. Tumetumia zaidi ya 1b kumbakisha kumbe ni 300ml.
Vumilieni si mnataka FURAHA😁
 
Uko sahihi. Jamaa mjanja mjanja Sana. Anatafuta pa kupigia hela. Baadae atakuja aseme ilikuwa kazi ngumu kumbakisha Ki. Tumetumia zaidi ya 1b kumbakisha kumbe ni 300ml.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mangungu alikuwa mbunge lakini sasa ni kiongozi wa simba, vivyo hivyo Aden Rage, kwanini mimi mnanipangia majukwaa?
Hao uliowataja wote ni watoto wa mjini, wewe huku unapuyanga tu labda kwenye jukwaa la kilimo ukatupe fursa za Ubaruku.
 
Wacha aende, tena tutamsindikiza airport!
 
Hao uliowataja wote ni watoto wa mjini, wewe huku unapuyanga tu labda kwenye jukwaa la kilimo ukatupe fursa za Ubaruku.
GaUdence Mwaikimba n Godwin Aswile wale nao ni watoto wa mjini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…