plagiarism
Senior Member
- Jul 14, 2021
- 133
- 296
😂😂😂 Hapo kwa konyagi1.ugali kitimoto na kachumbar na konyagi na pepsi
Na utatuharibia hali ya hewa😂😂Wali wa nazi na maharage ya nazi,siku iyo moyo nahisi unatoka kupunga hewa ya huku nje.
Wewe usiniambie unajiskiajeRoast ya maini na chapati ya kusukuma iliyochambuka na juice ya passion huwa inafuta dhambi zangu na nahisi nafsi yangu inaenda peponi [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Haswaa tena ukitaka mbuu wafe hapo tupia na yai la kuchemsha[emoji28][emoji28][emoji23]Na utatuharibia hali ya hewa[emoji23][emoji23]
Mimi binafsi napendelea ugali na nyama choma😂😂 Ni tamuu balaa wewe je?
Wee shouzzzz mbna unaniwekaaa?? Nasubir mie.Wali ndondo/ ugali dagaa na vegetables pembeni bila kusahau mtindii