Andika chakula ukipendacho na sisi tukijue

Roast ya maini na chapati ya kusukuma iliyochambuka na juice ya passion huwa inafuta dhambi zangu na nahisi nafsi yangu inaenda peponi [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Wewe usiniambie unajiskiaje
 
Ugali kitimoto hakuna anaepiga hiyo kitu 😋

Kwa junk food ni pizza🍕 yaani i can literally kill for a slice of pizza
 
Mbalaga(ndizi)

Hizi upikwa kwa mchanganyiko wa
[emoji117]nyama&utumbo
[emoji117]nazi&karanga
[emoji117]pilipil ya kunukia na kuwasha kwa mbaaaali
[emoji117]njegere

Then zikiwa kwenye sahani kubwaa zikifuka moshi wenye harufu taamu kwa kusindikizwa na juisi moja saaaafi ya bariiidiiiiiiiiii ama mirinda nyeusi ikikosekana pepsi ya bariiidi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Aloo hii kitu ni nomaa mwanamke akipatia kupika hii kitu nitaoa kwa mahali apendayo yeye na chenji abaki nayo[emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…