Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Mimi nimeshaacha wosia kabisa nikifa nichomwe moto.kaburi siliweziHofu yangu ni kifo
Pale nimeshaingizwa kaburini na kufukiwa na kuachwa peke yangu tu
Mungu wangu naomba unipe mwisho ulio mwema [emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app