Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
KaribuRubani nilikuwa offline
Utapigwa petrol mzeeMke TISS
Kizazi tuUtapigwa petrol mzee
Chukua mke mjeshi mkuu au takukuru utaenjoyKizazi tu
Mimi hapa Mama umenipata [emoji4]Mume, daktari [emoji4][emoji6]
Mimi hapa Mama umenipata [emoji4]
[emoji23][emoji23]ongeza sautiawe ana uza glocery, na iwe yake
Daktari wa mwili wa Binadam ...... We huoni hata hilo jina hapoDaktar wa binadamu, usje ukawa daktar wa mifugo hahahhahahahahhahha au wa mimea. Ama mganga wa kienyeji
Nimekuelewa sana sana, ila kama ulivyosema kwa kiasi frani walimu wapo vizuri kwenye malezi, nakubaliana na wewe.[emoji122][emoji122]