Poa my wife tobeTukana uwezavyo ukichoka kutukana, tubu dhambi zako kabla hujalala ndipo ulale [emoji3]
Siwez, kuoa dume usiniletee uchafu Alaa pumbav weSiongeagi na yatima kama wewe
Mbona sikuoni huu mtaa wa kuzimu? Au wew mgeni ,umekuja Jana?Nipo mtaa wa kuuzimu karibu na mshana Jr kijiji cha gamboshi village
Mtaa wangu na wako ni madiziniMwishowe mtataka na majina yetu
Niko Nanjilinji
Manjilinji nilikuja kumsalinia mjomba Christmas, ninasubiri nauli nirudi Kwamtogole[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe ulihama kwa mtogole!? Mie niko huku mfaranyaki ulanzi pumzi yako na mahindi ya kuchoma na kuchemsha pia firigisi za kukaanga za kuku wa kienyeji.
Wewe jamaa haujulikani unatafuta watu wasiojulikana ili mjuane inakuwaje hapo. Usiombe kukutana na watu wasiojulikana!!!!Mimi nipo DSM -Ukonga-Markaz mtaa wa Kwa Temba
=====
Kama unahisi unatafutwa na hutaki kujulikana taja mtaa wa uongo ambao hata haukai huo.Huo huo mtaa mtaa wa uongo utampata jirani yako wa uongo
Yatima mkubwa weweSiwez, kuoa dume usiniletee uchafu Alaa pumbav we
HahahahahahahaaaaKwa hiyo ukitujua unafaidika nini. Humu marufuku kujuana kawaambie waliokutuma kuwa hatuna mpango wa kujuana. Kamtafuteni aliyempiga lissu na azory, saaanane warudishwe.
Ovyo sana, tujuane ili iweje.
Hujui ni kosa kujifananisha na rais?naitwa uncle magu-mashi naishi hapa karibu na pale bomba la muhimbili linapoingilia baharini na kijijini kwetu ni kule kwenye mataa ya kuongozea punda a.k.a chatu
ndugu husinitafutie baraa mimi bure, ni wapi nilipomtaja rais au kujifananisha nae?, na ni rais yupi huyo unayemtaja wewe?Hujui ni kosa kujifananisha na rais?